Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pia wewe haupendi ukweli?.., na tukiwaonyesha sehemu kubwa ya Nairobi ilivyo jengwa kwa mpangilio mnalia lia na kibera kasehemu kadogo ukilinganisha na kwingineko.., kama Eastlands..,
Sehemu ambayo more than half of Naiporians live you call it sehemu ndogo? You are not serious.
 
Tatizo hauna focus ,upo kuvuruga tu
Tuusan hii ni rongai kilomita 20 kutoka nairobi. Wanaigeria wanakimbia kwao lagos kujibana huku.
IMG_20210722_220206_253.jpg

images (8).jpeg
images (9).jpeg
 
Sishangazwi kuona Dar ya 2000 hadi na ya 2021 haiwezi linganishwa na Nairobi old CBD ya 1990s..,! 😂 😂 😂

Ka sehemu ka Nairobi old CBD ya 1990s, akina KICC na Lonrho zimefichwa nyuma ya mpiga picha, wakati Teleposta towers bado inajengwa., westlands bado haijajengwa, kule nyuma...,
1627024633499.png

The completed teleposta..,in the 90s.,
1627024731974.jpeg


Dar CBD in the 2000s na 2020!!!!
1627024985835.jpeg

1627025036626.jpeg
 
Sehemu ambayo more than half of Naiporians live you call it sehemu ndogo? You are not serious.
60% ya wakazi wa nairobi ni Eastlands., unajua Kibera iko wapi kweli? na ni watu wangapi?.., utasema 2.5million ile pambio yenu ya propaganda., 😂😂, ukweli ni uchungu kwa mtanzania, ila sisi tuta anika tu facts, nyie mwageni porojo.., ama uko na makazi ya kuleta kutoka Dar is slum?.., weka humu wacha domo domo..,
 
Sehemu ambayo more than half of Naiporians live you call it sehemu ndogo? You are not serious.
Eastlands.., sehemu 60% of Nairobi residents reside..,
1627025644586.jpeg

1627025659978.png

Linganisha na makazi ya kawaida ya Dar is slum.., where 95% dwell.., wacha kulia lia na kibera..,
1627025803315.png

1627025831962.png

1627025861233.png
 
Nbo ama Mogadishu?
tuusan hii CBD yenyu utaita nini kama pipeline ni Mogadishu.., Kabul, Afghanistan.., 😂 😂 aibu..,
1627026443821.jpeg

1627026332291.jpeg

1627026398946.jpeg

😂😂😂😂 inachekesha sana.., Tanzania ya vituko.., hakuna kuficha this time round.,
 
60% ya wakazi wa nairobi ni Eastlands., unajua Kibera iko wapi kweli? na ni watu wangapi?.., utasema 2.5million ile pambio yenu ya propaganda., [emoji23][emoji23], ukweli ni uchungu kwa mtanzania, ila sisi tuta anika tu facts, nyie mwageni porojo.., ama uko na makazi ya kuleta kutoka Dar is slum?.., weka humu wacha domo domo..,
Kwani hiyo figure ya 2.5m unafikiri tumeiokota tuu ama?
 
Hehehehe kuna mbwa eti anaweka hii picha inayofanana na Rome eti anataka kulinganisha na Naipori, tafuta view Kenya nzima kama utapata view kama hii nitag [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums1147826978.jpg
 
Hii road inaitwa ua ua yani inaongoza kuua hii road kule Kenya, na hii road ni chafu hakuna mfano wake ila wakunya wanaleta ikiwa imepigwa make up kama hivi [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-380378207.jpg
 
Back
Top Bottom