Nimeicheki mombasa du!! kenya bado sanaya mombasa tu inatosha
Eti hiyo ni cbdMji wa kishamba kweli.., this time round tumefumania Dar..,iko wazi CBD yao ni ndogo sana!, ukubwa wa dar ni makazi za watu wa kawaida uchwara.., huwa wanaweka picha ki upropaganda, wameficha ukweli wasio upenda, hizi migorofa wameweka humu mara mingi kwa angle tofauti, kwa karibu, wakificha haya makazi ya watu wa kawaida.., zoom out ujionee kwa karibu..,..,
View attachment 1862202
Kumbe umeanza hadi kuiota tzYAANI JUZI NILIOTA ATI MIMI NI MTANZANIA ...NILISHTUKA KWA NDOTO NA KUIKEMEA SANA.....YAANI HIVI SASA NIANZE KUWA NA AKILI YA KI KAKA EH KAKA OH...HAAAAAPANA
Tanzania bado Ni LDC😂😂🤣😂Na tanzania ilipoingia middle income ikawaje 😂😂😂😂
Muwekee link huyo boyaDogo katizame picha za wakenya wenzio waliokuja Dar miezi 3 iliyopita...
Tanzania was demoted back to LDC, 🤣😂🤣🤣1st of july 2020
Sikieni huyu fala🤣😂🤣, ati data za serikali yenu Ni fake?😂I🤣🤣 Anyway I don't listen to nonsense please, JNIA Ni level ya Kisumu 🤣😂🤣. Unaongelea JKIA which handled more passengers than all Tanzanian airports combined?🤣🤣😂🤣👇👇Please huku kwenye aviation naomba unyamaze maana ntakupasua vibaya sana this is my football pitch!!!Kwanza hizo figure haziko sahihi there are wrong take it from me. Elewa mmefanya vibaya sana mwaka jana na katikati ya mwaka huu imagine KQ route tu ya Dar-Nairobi ambayo ilikuwa moja ya tegemeo lenu kwny biashara mmekata route from 14 kwa wiki mpaka 4 maana yake ni negative 10 bado sijagusa route nyingine to and from JKIA..mko hoi. Takwimu halisi za Jomo Kenyatta International Airport za abiria haziwezi kuwekwa hadharani maana ni aibu kubwa,Tofauti ya Traffic JNIA ni ndogo sana mwaka jana na miaka ya nyuma na imekuwa boosted zaidi na Domestic flights ATCL amefanya vizuri sana na anaendelea kufanya vizuri!!!Shut up fool!!! kabla sijatoka nje ya misingi ya kazi yangu.
We dogo acha ujinga waulize wakenya waliokuja dar niliweka video ya drone cbdfanya hivi dogo kama uko na kende.., nataka uweke Dar business districts zote, moja baada ya nyingine bila kurudia rudia., maybe angles same page, nami nikujibu, tuone nani ataishiwa pumzi., kiswahili na hadithi za vijiweni weka pembeni..., I dare u now.., nikuonyeshe Dar ni CBD ndogo na vijiji kubwa.., anza uwanja ni wako.......,
Dar and Kampala are cheap cities that's why Kenyans can afford them, in Dar price of five star hotel Ni less than price of a three star hotel in Kenya 😂🤣🤣
MY TAKE
Because Dar and Kampala are first World cities to any Kenyan!
🤣🤣🤣 Wanafikiri kila kiumbe ni msukule wa jubileeJamaa kaanza kuleta zile statistics za roads naomba umpe ile dawa alikunywa mara ya kwanza huyu mzee wa decoder 😂😂 Teargas
Acha ubishi wa kujinga wewe argue kwa factsSasa wewe na hiyo akili yako empty unajifanya mjuaji kuliko serikali yenu?Going by what the government posted in June 2021, Tanzania only have 9,000km of paved roads. Leo watu watajinyonga hapa
View attachment 1862521
We jitekenye na kucheka mwenyewe tuu.These days si comment. Na fuata kimyakimya. Nilikuwepo ulipoanza huu uzi na Emc2 wakati huo akiitwa vingine.
Ila muda huu nimependa ukakamavu wa Watz. Licha ya kupewa facts, raw and authentic data show how Tz compares poorly to Kenya, they put on a brave face and still argue.
Kuna mambo machache Tz imezidi Kenya kiukweli.
-Vituo vya mabasi
-SGR ya Tanzania kama kweli watazinunua treni kama inavyoonekana kwenye mitandao ya TRC
Hayo ndio mambo nimeyakubali . Mengine yote sioni ubishi. Watanzania wakubali. Sio aibu kukubali kushindwa.
NB. SGR SPEEDS OF KENYA AND TANZANIA IS THE SAME.
KENYA PASSENGER TRAINS MAXIMUM SPEED IS 158
TZ MAXIMUM SPEED IS 160. NO BIG DIFFERENCE.
Mark the main words in this report TANZANIA POOR COUNTRY KENYA LOW MIDDLE INCOME end of story... and this a report from the same organisation that said tanzania has millionaires so if it lied tanzania being poor the we can also say it lied tanzania having many millionaires.. so choose your words wisely
View attachment 1862763
So when knight frank says tanzania has many millionaires in east africa mnashangilia but when the same knight frank says tanzania is ranked by world bank as a poor country you up in arms hehe bro be realistic sometimes
U growing fast kwenda wapi?? 😂😂😂 yani ww hata sikuelew nn unaongea hapaStill it wount reach close to us because we growing at a fast rate tooView attachment 1862773
Ana hasira ya bullet trains 🤣🤣🤣🤣Anakera anaongea vitu hata havijui yupo yupo tu!!!!.Ndo tatizo ya ulevi wa gundi 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 wakenya ni watu wavituko tu
MY TAKE
Because Dar and Kampala are first World cities to any Kenyan!
ndo maana ninakwambia, dar ni nusu ya nbi. satelite haidanganyiWewe kweli kichaa hata hata mombasa +nairobi weka zote amwezani na dar
Ukipata source world bank imesema hvo nafunga acc 😆😆😆😆😆Tanzania bado Ni LDC😂😂🤣😂