Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mji wa kishamba kweli.., this time round tumefumania Dar.., iko wazi CBD yao ni ndogo sana!, ukubwa wa dar ni makazi za watu wa kawaida uchwara.., huwa wanaweka picha ki upropaganda, wameficha ukweli wasio upenda, hizi migorofa wameweka humu mara mingi kwa angle tofauti, kwa karibu, wakificha haya makazi ya watu wa kawaida.., zoom out ujionee kwa karibu..,..,
View attachment 1862202
Eti hiyo ni cbd yani kama hapo pamekufanya udhani ni cbd basi ujue dar ni hatari hapo ni kama km10 kutoka cbd
 
Please huku kwenye aviation naomba unyamaze maana ntakupasua vibaya sana this is my football pitch!!!Kwanza hizo figure haziko sahihi there are wrong take it from me. Elewa mmefanya vibaya sana mwaka jana na katikati ya mwaka huu imagine KQ route tu ya Dar-Nairobi ambayo ilikuwa moja ya tegemeo lenu kwny biashara mmekata route from 14 kwa wiki mpaka 4 maana yake ni negative 10 bado sijagusa route nyingine to and from JKIA..mko hoi. Takwimu halisi za Jomo Kenyatta International Airport za abiria haziwezi kuwekwa hadharani maana ni aibu kubwa,Tofauti ya Traffic JNIA ni ndogo sana mwaka jana na miaka ya nyuma na imekuwa boosted zaidi na Domestic flights ATCL amefanya vizuri sana na anaendelea kufanya vizuri!!!Shut up fool!!! kabla sijatoka nje ya misingi ya kazi yangu.
Sikieni huyu fala🤣😂🤣, ati data za serikali yenu Ni fake?😂I🤣🤣 Anyway I don't listen to nonsense please, JNIA Ni level ya Kisumu 🤣😂🤣. Unaongelea JKIA which handled more passengers than all Tanzanian airports combined?🤣🤣😂🤣👇👇

Screenshot (18).png
 
fanya hivi dogo kama uko na kende.., nataka uweke Dar business districts zote, moja baada ya nyingine bila kurudia rudia., maybe angles same page, nami nikujibu, tuone nani ataishiwa pumzi., kiswahili na hadithi za vijiweni weka pembeni..., I dare u now.., nikuonyeshe Dar ni CBD ndogo na vijiji kubwa.., anza uwanja ni wako.......,
We dogo acha ujinga waulize wakenya waliokuja dar niliweka video ya drone cbd
 




MY TAKE
Because Dar and Kampala are first World cities to any Kenyan!

Dar and Kampala are cheap cities that's why Kenyans can afford them, in Dar price of five star hotel Ni less than price of a three star hotel in Kenya 😂🤣🤣
 
Jamaa kaanza kuleta zile statistics za roads naomba umpe ile dawa alikunywa mara ya kwanza huyu mzee wa decoder 😂😂 Teargas
🤣🤣🤣 Wanafikiri kila kiumbe ni msukule wa jubilee

Kunyata anawadanganya kawajengea lami ili azidi kuwatapeli na mikopo wanafikiri ni kila mtu anaweza kudanganywa hivyo 😅😅

Wameshashtukiwa na data zao za kuoka 😅

Screenshot_20210722-083744.png


 
These days si comment. Na fuata kimyakimya. Nilikuwepo ulipoanza huu uzi na Emc2 wakati huo akiitwa vingine.
Ila muda huu nimependa ukakamavu wa Watz. Licha ya kupewa facts, raw and authentic data show how Tz compares poorly to Kenya, they put on a brave face and still argue.

Kuna mambo machache Tz imezidi Kenya kiukweli.
-Vituo vya mabasi
-SGR ya Tanzania kama kweli watazinunua treni kama inavyoonekana kwenye mitandao ya TRC

Hayo ndio mambo nimeyakubali . Mengine yote sioni ubishi. Watanzania wakubali. Sio aibu kukubali kushindwa.

NB. SGR SPEEDS OF KENYA AND TANZANIA IS THE SAME.
KENYA PASSENGER TRAINS MAXIMUM SPEED IS 158
TZ MAXIMUM SPEED IS 160. NO BIG DIFFERENCE.
We jitekenye na kucheka mwenyewe tuu.
 
Mark the main words in this report TANZANIA POOR COUNTRY KENYA LOW MIDDLE INCOME end of story... and this a report from the same organisation that said tanzania has millionaires so if it lied tanzania being poor the we can also say it lied tanzania having many millionaires.. so choose your words wisely
View attachment 1862763

Tukikuuliza hii tabloid uliyo screen short ni ya mwaka gani? Hujibu, maana status ya Tanzania imebadilika mwa 2020. Wewe unaleta data za mwaka 2018. Huoni kuwa unaturudisha nyuma?
 
So when knight frank says tanzania has many millionaires in east africa mnashangilia but when the same knight frank says tanzania is ranked by world bank as a poor country you up in arms hehe bro be realistic sometimes

Jibu kwanza swali langu ambalo ni rahisi tu. Tanzania iliingia lower middle income mwaka 2020. Halafu wewe unatuletea ka part gazeti kenye data za mwaka 2018. Huoni unapotoshaa?
 
120 Reactions
Reply
Back
Top Bottom