Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeamua kuleta Wikipedia.
FACTS is what matters,TZ HAMNA KITU 🤣😂😅NO BRAIN 🧠 NO BEAUTY.KENYA 1 EARTH TITLE😍🤩,Au una wikipidia yako😂😃?UTAJUA HAMJUI!😢👎🤭
Screenshot_20210719-104348.png
Screenshot_20210719-104007.png
Screenshot_20210719-103635.png
Screenshot_20210719-101326_1.jpg
 
Hii ni upuzi wa kitoto. Kama mnataka kuona watoto warembo simply ingia Instagram utabasamu hukooo. Lakini wanaume wawili kupishana kati ya TZvsKE wapi kuna warembo zaidi ni upuzi wa kiwango cha wazimu.
Swadakta shee wangu..lkn waache wa post tu huenda ikawa wote wanamega sehemu moja
 
Swadakta shee wangu..lkn waache wa post tu huenda ikawa wote wanamega sehemu moja
Hahahaha labda watuonyeshee warembo wao. Ndo tuchangamkie made, Zaidi ya apo ni ubladifukin tu. Hamna kiwango cha kupima urembo. One man's meat is another man's poison. Better turudi kwa discussion ya infrastructure
 
MISS UNIVERSE TANZANIA 2019 , UGLY DUCKLINGS🤣😅😂View attachment 1859477View attachment 1859479
IMG-20210607-WA0012_1.jpg

Kuwa miss sio uzur mzee, kuna Urembo na Uzuri, hiv ni vitu viwili tofauti .. uzur ni nature Ila Urembo ni kujitengeneza ..mara nyingi mamiss hawazingatiwi kwenye uzur wao ispokua Urembo tu (kujiweka) Ila ukizungumzia uzur Tanzania kuna watu wazuri haswaaa wengi sana kuliko nchi yoyote Africa mashariki.. kuanzia sura zao, maumbo makubwa na kuvaa vizur pia
 
Back
Top Bottom