Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Pesa za misaada na mikopo ya corona sasa imeanza kufanya kazi 😂😂😂 wengine wajiandae kuolewa na mbuzi au kondoo
 
Tayari khaligraph kawana nominated mbele ya domo mwaka jana
We mpunga haujui kitu kuhusu platnumz kaa kimya, Mwaka huu ilikua ni mara ya tatu Dee kuwa nominated BET .. 2015 na 2016 Platnumz alichaguliwa kuwania tuzo ya BET na kipengele kilekile.. shut off yr fu*** mouth.. by the way, the only guy won BET in EA is Rayvanny .. nyie kunyans kuhusu masuala ya mziki ni wapuuzi tu mbele za wabongo..
 
World bank wametoa mkeka mpya
Walioshuka na kupanda. ...
Kenya mmepigwa tena na ETHIOPIA
Tanzania imeipiga ANGOLA
Ghana wanazidi kutuacha na ivory coast wanazidi kutusogelea....
Screenshot_2021-07-04-12-48-02.jpg
Screenshot_2021-07-04-12-48-07.jpg
Screenshot_2021-07-04-11-55-58.jpg
Screenshot_2021-07-04-11-55-49.jpg
Screenshot_2021-07-04-11-55-34.jpg
Screenshot_2021-07-04-11-55-25.jpg
 
We mpunga haujui kitu kuhusu platnumz kaa kimya, Mwaka huu ilikua ni mara ya tatu Dee kuwa nominated BET .. 2015 na 2016 Platnumz alichaguliwa kuwania tuzo ya BET na kipengele kilekile.. shut off yr fu*** mouth.. by the way, the only guy won BET in EA is Rayvanny .. nyie kunyans kuhusu masuala ya mziki ni wapuuzi tu mbele za wabongo..
Ukweli unabaki tu pale pale km kenya tumewatangulia katika hzo nominations enzi za camp mulla kati
 
Sub Sahara Africa
Nigeria $432B
SA $301B
Ethiopia $107B
Kenya $98B
Ghana $72B
Tanzania $62.4B
Angola $62.3B
Cote d'voire $61B

afu lete ya bara lote.. morocco ilikuwa mbele ya kenya around 103-110$B hiv.. saiz wako na ngap?
 
Back
Top Bottom