Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kunawakati tuliwachalaza viboko kwenye hizi hotel hadi mkaanza kuleta hoteli kama za riverroad humu kwa kuishiwa
Nakumbuka hiyo siku vizuri sana. Yani hadi mwanzilishi wa hii thread akaleta hoteli fulani inaitwa Hong Kong Hotel eti nayo ni 5-star. Yani nilicheka sana huyo siku. Siwezi sahau hii hoteli ikiletwa hapa
images(332).jpg

Si unaona hata saa hii nawauliza tuingie battle ya 5-star wanaogopa
 
Kweli DSM ipo organized ndo maana tuna mfumo Bora wa transport kama brt ambayo ni ya level ya juu,kingine tupo na designated areas kibao za transportation,sio kama Nairobi ambayo ardhi hamna ya kufanya what we are doing here,
Nairobi is no near when it comes mobility ya mwananchi wa kawaida, talking about Safety, comfort na effiency au nasema uongo?
Of course Dar is organized. Very much organized as you can see below. Tena mko na ardhi (open spaces)nyingi sana ya kufanya maendeleo
images(180).jpg
images(193).jpg
images(203).jpg
images(196).jpg
images(200).jpg
2827394_1625233813401.png


Now compare with disorganized Nairobi
dd45e3972e57697738b8c0ca2a4a75ec.jpg
gettyimages-1160068071-612x612.jpg
images(281).jpg
images(279).jpg
images(280).jpg
images(329).jpg


gettyimages-1160068071-612x612.jpg
 
Tunazungumzia CBD mko na bus stand ghan organised maana si otc,ngara, bus station kencom, railways zote old school na zimepigika kinoma
 
Zege hilo laja...girder laying process washaanza kwenye changamwe interchange...final level..coming up( Third level)
View attachment 1842130
Hiyo steel girder hapo juu inakaa ya foot bridge angalia piers ya level ya chini halafu angalia hiyo ya juu angalia size ya piers cap ! Hamna 3 levels interchange hapo! Hiyo ni foot bridge na uwache kujidanganya!
 
Naomba utuletee Ariel view ya ziwani,Majengo ,mathare tueone kidogo 🙂
 
Naomba utuletee Ariel view ya ziwani,Majengo ,mathare tueone kidogo 🙂
Why do you want to compare your organized neighborhoods with our slums? Is it because zinafanana shilingi kwa ya pili or what exactly? I thought you said Dar is organized!!
 
Yani wanafaa kujitafakari sana hawa watu iweje masikini kwao ni wengi kuliko kwetu ilhali sisi kipimo chetu kipo juu kuliko yao
Duh!!ujue basi jamaa wana ku zoom htu wakisubiria ku post kibera[emoji1787][emoji1787]
 
Look at how the piers caps r wide to support at least a four lanes 3rd level! 👇
2831639_mombasa11.jpg



Piers caps za 3rd level ziko tofauti na hiki mnachojenga 👇

2831610_1625477101286.png


Wacha ubishi wa kipumbavu!
Haina haja tupoteze time kubishana, ngoja wakati lami itatandikwa hapo juu ndo uongee kwa sasa wacha ni bookmark hii post yako.
 
Hiyo steel girder hapo juu inakaa ya foot bridge angalia piers ya level ya chini halafu angalia hiyo ya juu angalia size ya piers cap ! Hamna 3 levels interchange hapo! Hiyo ni foot bridge na uwache kujidanganya!
Let me educate you just a little bit.

Kuna underground level. Hiyo ni level ya kwanza

Kuna ground level. Hiyo ni level ya pili.

Lastly kuna elevated level. Hiyo ni level ya tatu.

Sasa ni nini huelewi hapo ama maana ya neno 'level' ndio hujui?
 
Let me educate you just a little bit.

Kuna underground level. Hiyo ni level ya kwanza

Kuna ground level. Hiyo ni level ya pili.

Lastly kuna elevated level. Hiyo ni level ya tatu.

Sasa ni nini huelewi hapo ama maana ya neno 'level' ndio hujui?
That's a footbridge on ther rd level, when u talk of interchange levels u have to be consistent that all the levels will convey vehicles and not 2 for vehicles and the third is for pedestrians !! keep trying!
 
Back
Top Bottom