Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

whats your military cabinet like....in terms of weaponry.i believe you have a credible source
We are socialist country we don't display every thing we have. If you real need to know the strength of Tanzania wait 9 Dec this year we will display everything made in Tanzania
 
Viwanda vya nguo (Made in Tanzania)

Waziri-Mkuu-Kassim-Majaliwa-1.jpg


IMGS0538.jpg


nguo2-jpg.454699


EP1.jpg


upload_2017-7-17_16-45-14.png


upload_2017-7-17_16-45-38.png


upload_2017-7-17_16-45-59.png
 
Made in Tanzania by Mazava fabric and production (Morogoro)
industry.jpg



mazava-fabrics-2-1024x575.jpg


bb.jpg


garment-factory-workers_190541.jpg


Mazava-fabrics.jpg
 
DAR COACH ni noma. Ukiwambia kuwa hizi bus zimetengenezewa hapa Dar es salama Tanzania kunauwezekano nyangau asiamini. Nahapo bado tuna company kama Superdoll na Simba trailers nawao wanatengeneza bus. Zakwetu ni standard.Wakenya wasichojua nikuwa Yutong na Benbross za mchina zinatumia mafuta kidogo sana kuliko scania.
unawauwa manyang'au yakikenya aisee
 
Once it comes to things to do with military in TZ everything is kept secret. Unatoka kutupindua?? Hatukwambii nahutojua milele bila chokoza uwone kipigo kama cha Iddi Amin
whats your military cabinet like....in terms of weaponry.i believe you have a credible source
 
Lol yani bus yenye shule zote Kenya ikonayo ndio kitu kubwa tz?? Ebu mnitumie underpass sai niwatii
3973e1e97aa08c7ed8383b45a4d7d5e8.jpg


sent from iPhone 7
yaan wewe bado unang'ang'ana na underpass hadi leo hii.....kweli umepitwa na wakati........wait.......ujionee ili ukija kufa uzikwe kibudu
 
Ok....What's the occasion.As in displaying them for ?

Sent from my SM-G316HU using JamiiForums mobile app
Is our rule bro, kwahiyo vumilia tutakuwa tunakuonesha kidogo kidogo. Ukutaka kujirusha rusha tunakounesha tena. Kwahiyo tulia kama maji kwenye mtungi au tulia kama unayolewa. BTW you have to wait untill 9 Dec tutawaonesha vitu mpaka mtaficha mikia yenu. Mwaka huu tunaonesha all about Made in Tanzania. Watangazie wenzako wakae mkao wa kula.
 
jana kuna mdau aliwachapa kijembe cha unemployment... alisema wengi wao hawana ajira ndio maana kutwa mzima wapo online JF.

so wameona aibu...weamua kuingia kwa kujificha ficha ili baadae wakirudi watuambie walikuwa busy.
a19e44be8962f520af5e5204caedfc07.jpg
d200ee520b2dcb282511226ddd60bcae.jpg
tatizo mikenya mingi akili zao zinawaza kuajiriwa tu .....hawataki kujituma kwa kujiajiri na hilo tatizo halitokwisha milele kwa wakenya a.k.a wazee wakuzurura na bahasha kutwa nzima
 
Back
Top Bottom