spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,226
Hilton Hotel Jengo OvyooooooDar slum ni kama Githurai hapa NairobiView attachment 1841689
Hilton Hotel Jengo OvyooooooDar slum ni kama Githurai hapa NairobiView attachment 1841689
Jirani la Kaburi la SURA YA KENYAHii inapatikana Nairobi pekee...tembea dunia yote ukipata nitagView attachment 1841691View attachment 1841692
Nyie vilaza bado hajalalaHilton Hotel Jengo Ovyoooooo
Sura nyanya kama yakoJirani la Kaburi la SURA YA KENYA
tizama hapo chini picha namba mbili kati kati ,,kisha utuambie hiyo ni kenya sehemu gani.?Mlishashindwa kuleta 5-star hotels sasa ni visingizio tu. You ended up bringing guest houses za Arusha na Mwanza
Hiyo kitu umetoka kwenye space sio ya hapa dunianiJirani la Kaburi la SURA YA KENYA
ndoto za chokoraa,,sikuzote huwa anaandika kwa mihemko,The greatness of a hotel is measured by its star rating. So far, Nairobi beats Dar hands down in 5-star hotels
pombe unazokunywa pia na bangi unazovuta siyo nzuri kwa afya in reality ubongo wako ni andazi,acha na matumizi ya hivyo vituNiachie hapo?View attachment 1841712
Picha ya kwanza ni Movenpick Hotel, and we all know it's a 5-star hotel in Nairobi? Why don't you focus on the bigger picture? Picha mtu anaweza chsnganya kimakosa, hata nyinyi mmewahi leta picha za Nairobi na kusema ni Dar na si eti mnafanga kimakusuditizama hapo chini picha namba mbili kati kati ,,kisha utuambie hiyo ni kenya sehemu gani.?
otherwise mtakuwa mnajichora tu,kwa kuonekana wazee wa porojo kama kawaida yenu,tutaanza kukagua hotel moja moja mlizopost na kuwaumbua humu.
kuweni real hakuna unacholipwa humuView attachment 1841702
Its so simple kijana tajiri wa Tandale: make a list of all 5-star hotels in Dar Mimi pia niweke za Nairobi ndio tujue nani kati yangu na wewe ndio ako na ndoto.ndoto za chokoraa,,sikuzote huwa anaandika kwa mihemko,
na ndoto za fukara siku zote huwa anaota ndoto zisizo na kichwa wala miguu..
asilimia 100 ya wakenya mlio hapa ni fukara,jobless hivyo jitahidi kusaka mkwanja mmiliki nyumba na mandinga zaidi ya mbili la sivyo mtaishia kupoteza mda for nothing mkiendelea kuiga mambo yanayotoka kwetu sisi watz wenzenu tupo njema kimaisha.
over ,sasa unamzungumzia mtu ambaye yupo wrong na hataki kuambiwa ukweli.nikipata time nitadeal na hilo vitu vingi vishatupiwa kurudia rudia mambo hakujengi maanaPicha ya kwanza ni Movenpick Hotel, and we all know it's a 5-star hotel in Nairobi? Why don't you focus on the bigger picture? Picha mtu anaweza chsnganya kimakosa, hata nyinyi mmewahi let's picha za Nairobi na kusema ni Dar.
Make it simple: Make a list (not pictures) of all 5-star hotels in Dar and I do the same for Nairobi tujue mbivu na mbichi