Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwanajeshi kufa vitani ni kawaida.ila wanajeshi kubakwa kama wa Kenya sio jambo la kawaida.hao wa Mtwara walivamia kijiji usiku uliza kilichowakuta mpaka leo hawana hamu ya kurudi Tanzania.congo jeshi la Tanzania ni kati ya jeshi lililofanya vizuri kazi yake mpaka tukawaondoka k 23.
Nimeimba hapa, prove that, nifunge acc, huwezi! Kumbe una umama ndani yako ukiwa na hasira? 😂 😂 😂 😂
 
Mwanajeshi kufa vitani ni kawaida.ila wanajeshi kubakwa kama wa Kenya sio jambo la kawaida.hao wa Mtwara walivamia kijiji usiku uliza kilichowakuta mpaka leo hawana hamu ya kurudi Tanzania.congo jeshi la Tanzania ni kati ya jeshi lililofanya vizuri kazi yake mpaka tukawaondoka k 23.
Wewe, uliona wapi mwanajeshi anaenda mission, anakufa sababu hajui kuogelea, duh, mwingine nae, kashikwa na typhoid kwenye mission, akaaga huko huko, yaani mnashangaza nyie!
 
hayo machuma chuma ni kituo kingine ndan ya stand ya mabus zaman? afu naona ukuta wa zaman haujabomolewa!
Hayo machuma ni stand mpya ya BRT, alafu huo ukuta unabomolewa soon, hauna maisha, ni ule wa kule pembeni kabisa cjui ni kiwanda cjui ni ofisi ckumbuki vzr.
 
Hivi kuna mdau aliepita Hii barabara ya mwenge to Morocco? Mmeaona lakin kazi inayofanyika hapa....Hii barabara Ni katika barabara bora zaidi apa mjini

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app

Nimepita jana

IMG_8834.jpg

IMG_8833.jpg
 
Back
Top Bottom