Tanzanians are funny, funny that they see the bad that is with the neighbor and forgets all their problems.
Watanzania husema wao hulisha Kenya. Ni kama wao hutupa msaada wa chakula. Tunatumia pesa zetu kununua chakula. Kuna nchi kama UAE ambayo chakula karibu chote ina nunua. Hivyo hailishwi ila inajilisha.
La pili. Utapia mlo ni moja kati ya vitu vinavyosababisha vifo vingi Tanzania. Hiyo inamaanisha kuwa watu wengi Tanzania hawana chakula cha kutosha. Ama wanachakula lakini hawajui kulinganisha virutubisho vyote. Mtu ale mihogo kila siku mwaka mzima huku akijidai ana chakula.
Kenya, Diabetes ni moja wapo ya vitu vinavyosababisha vifo, kinyume na Tanzania, Diabetes ni ugonjwa unaotokana na maisha ya kujitozelesha (Lifestyle disease) Nchi nyingi zilizoendelea, moja ya vyanzo vya vifo ni Diabetes.
Hapa Watanzania mjifunze kitu, kwamba nyinyi hufa kwa utapia mlo mara saba zaidi ya Kenya, huku kujidai kwenu na chakula kunawaibisha
View attachment 1830498
View attachment 1830501