Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna nchi itakaribia Tz hapa Afrika kwa urefu wa modern railway lines when our SGR is completed, yn kwa kifupi Tz ndio itakuwa China ya Afrika mtake msitake
IMG_20210602_173200_351.jpg
JamiiForums-1279196793.jpg
 
Upon completion it will be the longest electrified railway line ever seen in Africa so Tz will soon be called The China of Africa, UKIONA INAUMA CHOMOA AU SUBIRI WAKURUNGWA TUPAKE MATE
 
Wakenya msione wivu, cc tulijenga nchi yetu kwa nguvu zote japo tulichelewa kutokana na kusaidia nchi zingine za Afrika, na ndiyo maana Mungu anatuangalia na kutusikiliza pale tunapomuomba chochote kile, ona msitu wa towers huo never seen in East and Central Africa never ever View attachment 1812757
Yaani hii mikunya kupakatwa kote na mabwana zao hakuna sehemu wamefika

Wakati Tanzania ikishirikiana na nchi zingine kusini mwa Africa kupigania uhuru wao walikuwa wakishoboka kwa wazungu na hakuna sehemu wamefika zaidi ya kuangukia kwenye umaskini wa kutisha, njaa, ukabila uliokithiri, slums zinazoota kama uyoga kila kona.

Nchi haina vita ila inasumbuliwa na njaa kila mwaka.
 
I wanted to explore a little Daresaalam on street view and apparently it’s absolutely blank as compared to any urban center in Kenya including my little hometown of Kericho, mind you, we’re in 2021… View attachment 1812778View attachment 1812779View attachment 1812780View attachment 1812781View attachment 1812782

View attachment 1812766

View attachment 1812767

View attachment 1812773

View attachment 1812774

View attachment 1812775
🖑niaje aje IanLee.. me too am frm kco. but currently lives in nai
 
I wanted to explore a little Daresaalam on street view and apparently it’s absolutely blank as compared to any urban center in Kenya including my little hometown of Kericho, mind you, we’re in 2021… View attachment 1812778View attachment 1812779View attachment 1812780View attachment 1812781View attachment 1812782

View attachment 1812766

View attachment 1812767

View attachment 1812773

View attachment 1812774

View attachment 1812775
Munaeza kujionea hawa watu vile wajinga sijapata kuona in my life 😄😄😄 nn amepost huyu mtu nisaidieni
 
Hizi design mbona zipo tu, nchi nyingi sana, wana mpaka za kitambo, kuna wanaozitumia sana na kuna wasiozitumia sana ila zipo hata hapo kwenyu zipo na wajua hivyo! 🤣 🤣 🤣
Ni failed state only ndio kuna maajabu ya firauni yaliobakia dunia hii 🤣🤣🤣

yani 2018 munaletewa treni ya 1900 alaf munasema nyinyi ndio munamaendeleo😁😁
 
Back
Top Bottom