Uyo mm huwa naenda nae hivyo hivyo kichizi chizi km alivyo na uchizi wake na ndiyo maana huwa akiiona hii ID popote alipo anakimbia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halafu ana Audacity ya kutaja neno IQ. Huyu mpotezee tu. Kila ukiona post yake refer na mahela yake unajua unaongea na nani. [emoji23].
Uwanja wa Arusha hauna nafasi ya kutosha na haufanani na Kirumba! Nadhani hujawahi fika! Utatakiwa kuvunjwa wakati wa Mwanza hata jukwaa linaweza kuongezwa pia mapaa kuwekwa!I thought of that to ..lakini ni ngumu kuwapangia CCM cha kufanya na pesa yao .. if they are willing to invest or share cost it would save alot of cost sio Mwanza tu bali hata .. Arusha (Sheikh Abeid Stadium)
Naongelea aerial view si picha za upande,😁😁😁Hii hapa [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90][emoji86][emoji85]View attachment 1787524
Nikikuambia IQ yako ni kama ya punda unaona vibaya🤣🤣😂. Sasa wewe kwa akili yako nyumba za maana zinakaa aje ama zinaanzia floors ngapi?Old CBD ya Nairobi ni Tower mbili tu za maana kidogo Times, CBK na labda tuongezee ule mkongojo wa Punda (KICC) vingine vijumba vya miaka ya 70 Hamna kitu.
Upper hills pia kuna Prism, UAP, na miantena kama Ya Lobster Britam tu. Mengine utopolo kila nchi inayo.
Westland mchina kawatoa kwa Tower 5 muhimu. [emoji23]
Unarudia tena hii vita hujakoma tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwanza hata hamfai kuongea juu ya barabara juu mko na 12,000km pekee ya paved roads[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Haya tuletee na aerial view ya hio eneo15 km from CBDView attachment 1787528
Tuokoe Muda kidogo 😅Old CBD
View attachment 1786949
View attachment 1786993
Upperhill
View attachment 1786952
WestlandsView attachment 1786958
Kilimani
View attachment 1786960
Parklands
View attachment 1786985View attachment 1786989
Ngara
View attachment 1787483
Siezikuwa na Vita na wenye wako na only 12,000km of paved roads.Unarudia tena hii vita hujakoma tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwahiyo wewe unavyoona hilo eneo litakuwaje hata ikipigwa aerial view [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787]Naongelea aerial view si picha za upande,[emoji16][emoji16][emoji16]
Choko reborn [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1787539
Mfano kama huu👇👇👇 hapa hatutaki picha za mjengo mmoja👍Kwahiyo wewe unavyoona hilo eneo litakuwaje hata ikipigwa aerial view [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787]View attachment 1787530View attachment 1787532View attachment 1787533View attachment 1787535
Aerial view ya hiyo place 😂😂🤣👇👇Kwahiyo wewe unavyoona hilo eneo litakuwaje hata ikipigwa aerial view [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787]View attachment 1787530View attachment 1787532View attachment 1787533View attachment 1787535
Huwa sihitaji kupambwa mzee, tofauti ya Dar na Nairobi ni kuwa Dar Majority wanaishi kwenye nyumba zao sababu building a decent home in Tz is quite easy than in Kenya, a reason you will rarely see uniform houses in Dar and people are comfortable with their own houses than rental.. hakuna soko kubwa la wapangaji huku na hata wanaopanga wanakuwa wanapambana kununua ardhi na kujenga nyumba zao, hii pia ina changamoto sababu inapelekea kweye makazi mengi ambayo ni informal, you go to Mbezi beach, goba, Bunju, Mbezi, Kinyerezi, Chanika, Kigamboni utaona massibe decent homes ambazo hazifanani kama huko Nairobi..Nakuona uko civillised wacha ni deal na wewe kistarabu, je hali ya real estate ya dar ukilinganisha na Nairobi unaionaje??
Hiyo ni aerial view mzee.15 km from CBDView attachment 1787528
Picha bila filters 🤣😂🤣🤣👇👇Choko reborn [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1787539
Mnaumizwa kweli kweli na maendeleo ya Tanzania, jengeni mfike huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna nchi inaezatamani kufikia huu uchafu🤣🤣😂🤣😂🤣👇👇Mnaumizwa kweli kweli na maendeleo ya Tanzania, jengeni mfike huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]