kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
Good for LDC...you need to modernise your farming anyway
sent from iPhone 7
my people from rural areas of LDC would like to say hi to kenyans.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Good for LDC...you need to modernise your farming anyway
sent from iPhone 7
my people from rural areas of LDC would like to say hi to kenyans.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Underline the word modernise..... Kenya has plenty food its only maize which is scarce because of the Kenyan culture that one must eat ugali at least once daily
an yet you scramble for it everyday...Ugali ni 90 Bob ...very cheap
sent from iPhone 7
Uache kuniuliza maswali za kipuzi as if u feed me,nktSasa unataka tukusaidie nini sasa!?
nyinyi ni DC sisi ni LDC.....iam hopping you are ahead in everything...![]()
![]()

Acha uongo basi picha za Nairobi mnatumaga wenyewe na zinaonesha Nairobi ni mapori yamejaa majengo mjini ya kuhesabu si mlime basi au mabwenyenye yamekamata ardhi zaoYou guys mkishajipanga na Photos you also demand the same from us. Wengine wetu tumekwama hapa concrete jungle but next month i will be in ushago for elections.I will bring you all the Photos
Sent from my SM-G316HU using JamiiForums mobile app
Hahahaha psychoNajua wakenya mnanjaa kali sana.
ardhi yenye rutuba kenya inamilikiwa na wachache....majority hawana kitu.Acha uongo basi picha za Nairobi mnatumaga wenyewe na zinaonesha Nairobi ni mapori yamejaa majengo mjini ya kuhesabu si mlime basi au mabwenyenye yamekamata ardhi zao
Sent from my itel it1516 Plus using JamiiForums mobile app

ha haaaaa ya kweli kabisahii thread huwa inanifurahisha sana,kuna siku thread huwa nzuri sana kwa wakenya na mbaya kwa watz,na kuna siku thread huwa nzuri kwa watz na mbaya kwa wakenya.
jana na leo thread imekuwa nzuri sana kwa watz....wakenya wanatia huruma.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
taratibu zikifuatwa hatutozizuia....Mnazuia truck za Zambia kuingia Kenya mbona. ..nkt
Sent from my SM-G316HU using JamiiForums mobile app
yas yupo very clear waziri mkuu wetuhuo ndio msimamo wa serikali.
that statement was made official by our prime minister majaliwa kassim majaliwa.
hatupo tayari kuwauzia kila kitu.mahindi tunakoboa wenyewe,kenya tunawauzia unga tu.
pumba za unga zibaki tz ili kulisha mifugo yetu.very smart move by our government.![]()
![]()
![]()
![]()
hizi green houses bila shaka hazimilikiwi na wakenya wa kawaida.Onion farming in Nakuru county
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from my SM-G316HU using JamiiForums mobile app
