Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wa Kenya bana ichi nn sasa , kwa technology mpo nyuma sana karne hii ya 21 mtu anatembea na daftari eti leseni

Embu watume na kitambulisho cha taifa (kipande) tuone


LDC mnajaribu....hahaha .Those nondescript things wont help.
 
Naomba mods waweke part inayohusu Kenya vs Tanzania naona itanoga sana kwa maendeleo ya nchi zetu hizi mbili za africa mashariki.
Tuchukulie hizi ni changamoto na sio chuki. Sisi ni waafrica wote.
 


Dedicating this jam to all Tanzanians in this thread, my best rap song from tz mwenye aliunda hio beat ni mnoma
 
Kwa music nayo bongo wametuosha clean. ......Kwanza i like that song kijuso ya rayvanny
 
Wakenya karibuni Zanzibar
c96ffd551c54d27e48936767ca2cfca2.jpg
9a4d0d8fe19a0dc878ea8dcbd08268e8.jpg
b202ab3db78c974f10af960bee243d03.jpg
kamwe hautajutia kufika mahali hapa
 
Back
Top Bottom