kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
with all that,nairobi is considered a crime heaven.after each hour,someone is robbed or killed in relation to crime.
Tuoneshe leseni za kenya😀😀😀😀Everything is going online huku sio DL pekee. Hii battle huwezi. Kenya ndo tech hub ya Africa boss.
Apps zote za TZ visit this url. Utakuta mamilion ya apps za tzNmeuliza bank? CRDP app iko wapi
Tuuoneshe DL zenu basi😀😀😀😀😀DL tunatoaga online tangu..ata good conduct certificate etc ni online
Hahahha jamaa umewaomba giants glass building wanaleta buildings za gorofa tatu za kenya nzima
Wanaumia unafkiri watakubali vpHawa jamaa maneno mengi na utapeli tapeli tu. Halafu wanataka kuleta utapeli kwenye vitu ambavyo viko wazi kabisa. Wanadhani Tz bado ni miaka ya 80s.
Hawataki kukubali mabadiliko haya makubwa.
Sana tena inaingia mara tatu kwa darNairobi mji mdogo sana huo.
Sana tena inaingia mara tatu kwa dar
Mwingine anafananisha kasarani stadium na uwanja wa taifa 😀😀😀😀
Wanaona aibu kukubali tunao uwanja wakimataifa
Bado wa dodoma sasa tunaojenga hatariii
Lazma uzipende sizinachoma ipasavyoHahaha. ...I like your comedy
Tunataka kuona city train within Nairobi or Mombasa or any were in Kenya??????....following......