El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Which battle is next ....Hahaha. No hard feelings neighbours. ...one Love
hahahaha wewe umejaa ushamba, kwelikweli. That's why Nairobi huitwa green city under the sun. we value our trees.Mbona kama mapori yamejaa , au ndo ma bwanyenye yameshika ardhi hayataki kuendeleza mnayaangalia tu![]()
![]()
![]()
![]()
Acha uongo una value tree , sema kweli watu wameshika maeneo na hawajaendeleza jiji kama kijiji Nairobi ni big village sio cityhahahaha wewe umejaa ushamba, kwelikweli. That's why Nairobi huitwa green city under the sun. we value our trees.
kila kitu kama kipi hebu vitaje tuviskie hapa😀😀😀😀😀Yani kila kitu tunachapa hawa ma bwenyenye
umekosa cha kuongea au nani alichapa kichapo hapa😀😀😀😀si ata we pia ulishapwa kwa battle ya magari. au unataka kichapo ingine tena?
Mallskila kitu kama kipi hebu vitaje tuviskie hapa😀😀😀😀😀
In Tanzaniabongo........ biggest city in east and central africa😀😀😀😀😀😀
halina mjadala au kipingamizi
towers toa kwenye akili yako, railway tungekua hatujengi ingekua sawa ,tourism tushawachapa fimbo ipasavyoMalls
Highways
Towers
Railway
Tourism
International companies
Etc
Tower mbili????(the highest in Africa is coming)towers toa kwenye akili yako, railway tungekua hatujengi ingekua sawa ,tourism tushawachapa fimbo ipasavyo
mlichotuacha ni highways thats all na hio mukae mkao wa kula very soon mutaona habari yake
ongea kama mtoto wakiume tower mbili mungekimbia over 20 floors, tourism hio sahau my friend na hairudi tenaTower mbili????(the highest in Africa is coming)
Tourism ni Serengeti,Kilimanjaro na Zanzibar dar tourism at a nusu haifiki Nairobi.
Airport tumewanyorosha
ICT bado mko chini sana
Embassies tuko na over 70
Multinationals over 100
Malls hapo sisemi kitu ata Kampala imewanyorosha![]()