Mnatakiwa mkubali bana siyo kuleta ubishi na kujiona mko juu.Annael na kidomo chako umejificha wapi.View attachment 536402 View attachment 536404 View attachment 536405 View attachment 536406 View attachment 536407
Hapa anyelia ni wewe. Nimekueleza weka buildings toka Nairobi za kushinda hizi hapa tatu toka Dar:-Kicks of a dying horse. Excuse after excuse, tafuta tool ya kumeasure beauty kisha urudi. Jana ulipinga na ukasema kwa kiburi sana Dar has MANY
glass buildings kuiliko Nairobi leo umeleta wimbo ingine tena. Si ni wewew ulisema unaanza kuhesabu, na ety Nairobi ni ndogo utaimaliza na upanga cbd pekee. Haya maliza basi na uwache kulialia kama mtoto.
ushapewa zaidi ya tano unataka nini tena?Hapa anyelia ni wewe. Nimekueleza weka buildings toka Nairobi za kushinda hizi hapa tatu toka Dar:-
![]()
Nilikueleza tunataka buildings tano. Kama unataka wingi nipotayari.
Na nitahitaji caption ya kila jengo sawa?
Hayo majengo ni ugly. Nimekuuliza those buildings are most beautiful in Nairobi? Jibu ndio au hapana.ushapewa zaidi ya tano unataka nini tena?