Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

dodoma
1469608191696-jpg.371795
 
a 4 by 4 metre room with tarmac around.....wah...!kweli Tanzania inatisha brother kenya hizo tunaweza ona tu ndotoni......pwahahaha
unasemaje hahaha sio unaumia ndani kwa ndani😀😀😀😀😀😀
 
Hivi nyie Ndugu zangu Wakenya. ni uvivuu au mnasumbuliwa na nn. Kwa nn msije TZ kujifunzaa.. Nimetoka Nairobi mpaka Namanga
Cjaona hata kabustan ka mboga mtu kalimaa hata km n Nyumban kwa mtu. Nnachoona tuu ni Mapori yamezungushiwa uzio kutoka huko Nairob mpaka nafka hapa Namanga Na hao makarao wenu vile wanapenda rushwa hata 50 kwao wanachukuaa.. Ama kweli hil n taifa la Vipofu sasa hivi Hamjui mueleke wap vikundi vya matajiri NASA na JUBILEE vinapambana kulinda maslahi yao Hakuna lolote hakuna Chochotee Maendeleo ya Kenya ni pale Uson wa Nairobi tuu kwingine kootee hakuna kituu...
 
wewe hizi umepost ni glass? ety modern building ni glass, wewe hua unajielewa kweli? Ama hujui meaning ya glass na modern ni nini.
Sasa haya majengo mitumba unayopost hapa unayaona yapo na design nzuri? Jengo refu linatakiwa liwe jepesi. Hapo nimekuonesha majengo mafupi mafupi natena yapo na glass.
Sasa yakwenu wenzetu mmejaza udongo kuanzia chini mpaka juu kama mnajenga makaburi. Kha!!
Hebu piga chabo kidogo hapa TZ uweze kujifunza.

PSPF2.jpg


k3.jpg
DP NIGHTTIME.jpg
IMG_6169.JPG
kibo complex.jpg
2012-12-22.jpg
 
Hivi nyie Ndugu zangu Wakenya. ni uvivuu au mnasumbuliwa na nn. Kwa nn msije TZ kujifunzaa.. Nimetoka Nairobi mpaka Namanga
Cjaona hata kabustan ka mboga mtu kalimaa hata km n Nyumban kwa mtu. Nnachoona tuu ni Mapori yamezungushiwa uzio kutoka huko Nairob mpaka nafka hapa Namanga Na hao makarao wenu vile wanapenda rushwa hata 50 kwao wanachukuaa.. Ama kweli hil n taifa la Vipofu sasa hivi Hamjui mueleke wap vikundi vya matajiri NASA na JUBILEE vinapambana kulinda maslahi yao Hakuna lolote hakuna Chochotee Maendeleo ya Kenya ni pale Uson wa Nairobi tuu kwingine kootee hakuna kituu...

hahaha, look at this ignorant fool ameingia, kama ungesema umezurura kenya nzima sawa
 
Sasa haya majengo mitumba unayopost hapa unayaona yapo na design nzuri? Jengo refu linatakiwa liwe jepesi. Hapo nimekuonesha majengo mafupi mafupi natena yapo na glass.
Sasa yakwenu wenzetu mmejaza udongo kuanzia chini mpaka juu kama mnajenga makaburi. Kha!!
Hebu piga chabo kidogo hapa TZ uweze kujifunza.

PSPF2.jpg


View attachment 536064 View attachment 536079 View attachment 536080 View attachment 536081 View attachment 536082
Unajua Nairobi ikona more glass buildings kuliko dar. Kama hukua unajua jua sasa. What we have is diversity.
 
Back
Top Bottom