game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,053
- 26,331
biggest and modern medical university in east and central africa, anaebisha yupo
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Ni rasmi sasa Tz is the Giant of EA
Expect more povu from nyang'aus.
biggest and modern medical university in east and central africa, anaebisha yupo
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
uongoooooo hapa ni Kenya.
![]()
![]()
![]()
Ni rasmi sasa Tz is the Giant of EA
Expect more povu from nyang'aus.
hahahhha aibuuuuuuu kubwa.hehehe leta picha usichanganyikiwe bado mapema sana budaa
kenya imeingiza mabilionea wangapi this year kwenye hiyo list?...I only see Mohamed dewji, a billionaire from an LDC representing EA.![]()
Orodha YA matajiri Afrika kwa mujibu wa Forbes 2017

Dodoma convention center..![]()
unasemaje hahaha sio unaumia ndani kwa ndani😀😀😀😀😀😀a 4 by 4 metre room with tarmac around.....wah...!kweli Tanzania inatisha brother kenya hizo tunaweza ona tu ndotoni......pwahahaha
Hahahaha... Hahahahauongoooooo hapa ni Kenya.
Sasa haya majengo mitumba unayopost hapa unayaona yapo na design nzuri? Jengo refu linatakiwa liwe jepesi. Hapo nimekuonesha majengo mafupi mafupi natena yapo na glass.wewe hizi umepost ni glass? ety modern building ni glass, wewe hua unajielewa kweli? Ama hujui meaning ya glass na modern ni nini.
Hivi nyie Ndugu zangu Wakenya. ni uvivuu au mnasumbuliwa na nn. Kwa nn msije TZ kujifunzaa.. Nimetoka Nairobi mpaka Namanga
Cjaona hata kabustan ka mboga mtu kalimaa hata km n Nyumban kwa mtu. Nnachoona tuu ni Mapori yamezungushiwa uzio kutoka huko Nairob mpaka nafka hapa Namanga Na hao makarao wenu vile wanapenda rushwa hata 50 kwao wanachukuaa.. Ama kweli hil n taifa la Vipofu sasa hivi Hamjui mueleke wap vikundi vya matajiri NASA na JUBILEE vinapambana kulinda maslahi yao Hakuna lolote hakuna Chochotee Maendeleo ya Kenya ni pale Uson wa Nairobi tuu kwingine kootee hakuna kituu...
hahahahha ichoboy aka iyumbu anatuibia mchana.Hahahaha... Hahahaha
umenichekesha sana aisee...
nimeona zinafanana sana iyumbu dodoma hii hapa zinafanana sanahahahahha ichoboy aka iyumbu anatuibia mchana.
Unajua Nairobi ikona more glass buildings kuliko dar. Kama hukua unajua jua sasa. What we have is diversity.Sasa haya majengo mitumba unayopost hapa unayaona yapo na design nzuri? Jengo refu linatakiwa liwe jepesi. Hapo nimekuonesha majengo mafupi mafupi natena yapo na glass.
Sasa yakwenu wenzetu mmejaza udongo kuanzia chini mpaka juu kama mnajenga makaburi. Kha!!
Hebu piga chabo kidogo hapa TZ uweze kujifunza.
![]()
View attachment 536064 View attachment 536079 View attachment 536080 View attachment 536081 View attachment 536082