Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna kitu kaonesha zaidi ya mombasa CBD main road 😂😂😂😂😂😂
Lakini sijaona akionesha streets au pia alikua anaogopa ile video uliopost iko wapi irudishe plz
View attachment 1706985View attachment 1706986View attachment 1706987View attachment 1706988View attachment 1706989View attachment 1706990
Moi Avenue ni main road eti? 😂 😂 😂 😂 😂 .,kwako hiyo n main street? unajiaibisha kaka., sasa Mwanza wapi na wapi?., ameweka many streets, wacha za ovyo, na hizi sio the main street ya Mombasa.,, si unajua Mombasa, nionyeshe the main street kwa hiyo clip., iko partly kwa aerial view, na si hii umeweka
 
Mwenye macho aambiwi tazama, kila kitu in one clip., compressed and summarised well in 23 minutes., did u watch kilaza?😂😂😂😂😂, kama umewatch wacha watu wajionee streets na aerial views na pia yako uchwara ya Mwanza., kiswahili ya nini tena 😂😂😂😂 streets ziko hapa very nice and clear..

Mm nimeona hii hapa katembea main road ya CBD kwisha wapi street za mombasa tuone tucheke kidogo 🤣🤣🤣🤣👇👇👇


13E83D58-7580-4FB5-B4A1-01529A093006.jpeg
3DAAE7DE-3B86-4364-89DC-0B41433EF645.jpeg
CFE5FC0B-1003-49D3-B50C-9A0D6F08DF22.jpeg
6C026E92-AE51-497C-BF9F-9BA56B08F118.jpeg




Sisis tunataka kuona mamabo kama hya bwana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇

0BF3DB17-E5E0-42AA-8D17-FCE4F7F235DF.jpeg
29470727-14AA-45C9-BBE2-76AA6A851D42.jpeg
 
Moi Avenue ni main road eti? 😂 😂 😂 😂 😂 .,kwako hiyo n main street? unajiaibisha kaka., sasa Mwanza wapi na wapi?., ameweka many streets, wacha za ovyo, na hizi sio the main street ya Mombasa.,, si unajua Mombasa, nionyeshe the main street kwa hiyo clip., iko partly kwa aerial view, na si hii umeweka
Kwanza angalia inavoitwa moi avenue road sijawah sikia inaitwa moi avenue street🤣🤣🤣🤣👇👇
C96D5570-9BD7-47F8-93C0-7B6E19B3DBBD.jpeg

A6DE8D8F-39DD-4592-AAC7-807F8CC44BA1.jpeg
 
Moi Avenue ni main road eti? 😂 😂 😂 😂 😂 .,kwako hiyo n main street? unajiaibisha kaka., sasa Mwanza wapi na wapi?., ameweka many streets, wacha za ovyo, na hizi sio the main street ya Mombasa.,, si unajua Mombasa, nionyeshe the main street kwa hiyo clip., iko partly kwa aerial view, na si hii umeweka
Hio ni main road ya CBD mombasa hakuna asiejua hata mtoto wa miaka miwili sisi tunataka kuona streets kama hii uliopost mwanzo nimecheka leo 😅😅😅😅
 
Sisi tunataka kuona streets kama hzi Yosef Festo hakuna kitu utanidanganya mm mombasa mark my words utake usitake🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇
 
Huwa wanasema kwamba hii picha sio ya Dar. Mimi mwenyewe nimewahi kusema hapa kwamba middle class areas za Dar zinafanana vibaya kushinda Favela za Sao Paulo, Brazil.
We nae kwa kukurupuka! Ss aliyekuambia hyo ni Dar nani.
 
Kwanza angalia inavoitwa moi avenue road sijawah sikia inaitwa moi avenue street🤣🤣🤣🤣👇👇View attachment 1707012
Ona reasoning uchwara 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 , ume google Moi Avenue, imekupa ya Nairobi, unajua maana ya jina avenue na street kweli ama ni ushamba unaanika humu? hehehehe.,
Mwanza the second city in Tanzania., huna la ziada
 
Back
Top Bottom