Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Compare and contrast sasa. S. Sudan hatuna shida nao sana. Lakini sisi sio wa mchezo mchezo kama Ethiopia wanatumia Dar port tunaweza fanya biashara na S. Sudan.

upload_2017-7-4_15-21-37-png.535276
hawa majamaa waache tu ni wapuuzi ...kwa sasa tuwacheke kimya kimya.....ila mwisho wa siku TZ ndiyo baba wa uchumi east and all africa .....au vipi
 
Eeeh?!!! Umekubali???
KU is a unicity you can't compare it to that dodoma thing.


They dont know Moi university has a cotton industry and an airport. kweli Hawa LDC ni taabu. .
Jkuat has a laptop assembly plant, a cereal industry for making noodles and a fruit processing industry. .....together with a botanical garden
 
they are in kenya but I don't see recent photos that show them hanging with kenyan artist.no photos that show location tag they took from different neighborhoods in kenya.SMH.
Hio ni reason ya ufala, hahaha sio lazima wapige picha ndo watu waone. Keep calm and allow them to settle down.
 
subutu yako rudia tena tukuskia vzr...dodoma university ni kijiji kutoka hostel moja kwenda nyingine unatumia public transport😀😀😀😀😀
mbona hawapigi aerial view ya hivyo vyuo vyao.....
 
Kenyatta University has over 71,000 students currently hio UDOM is planning to have 50,000 students by 2025. Keep on dreaming mutafika tu.
 
Kenya almost 3 times small than Tz but infrastructure ya Kenya ni 3 times more than Tanzania. Hio UDOM ni shamba tu kubwa you can't compare it's capability to KU. Malizeni kujenga kwanza ndo muanze hizi comparison hazina maana.
 
Kenyatta University has over 71,000 students currently hio UDOM is planning to have 50,000 students by 2025. Keep on dreaming mutafika tu.
nipe ukubwa wa hectares ya kenyatta univesrsity?????
 
The capacity of UDOM is more than 50,000 students in a single campus ...whats the capacity of ur biggest university? Kwa campus moja

Na bado Agakhan wanashusha 1billion USD university in Arusha ..na kingine Dar. Sam Njuoma Rd
 
nipe ukubwa wa hectares ya kenyatta univesrsity?????
Soma hapo juu nimekwambia nyinyi ni shamba tu kubwa vile we hujivunia boundary ya dar but productivity number bado munaisoma.
 
nipe ukubwa wa hectares ya kenyatta univesrsity?????
eneo la Chuo cha udom ni kubwa sana,ni takribani hectare 6000.
66cf825a0668d987e63653e1e16bffff.jpg


ili kupata ukubwa huo,kenyatta university itabidi iunganishe campus zake zote zilizopo maeneo mbalimbali.
9a247114157507e4e1e69512d9e43cf6.jpg
 
Kenyatta University, Nairobi University and Moi University each have a capacity of over 50,000 students already.
 
Back
Top Bottom