Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona wengi wahindi wameolewa wengine majirani zangu🙂
Kwa nini wahindi wa huko ni tofauti na wa Kenya? Kenya ni nadra ndoa kama hio kufanyika. Huku kuna msichana mmoja wa kihindi aliolewa na mvulana wa kiafrika ikawa ni breaking news. Familia ya huyo msichana ilimtelekeza na ndoa hio ikavunjika baada ya mwezi mmoja. Yaani ilikuwa ni story kubwa ilikuwa inakuja kwa habari ya saa moja na saa tatu usiku.
 
Ushauri wako Ni poa sana,Izo dreamliner inaenda Mumbai bro...Target ni masafa marefu....Ukiona imetoka dar kwenda Mwanza basi ujue abiria wako wakutosha haiwezi kupack tu....

Kuna deal la kwenda China ni corona ilizingua ila tutaanza kwenda China...pia tunaroute Za Lusaka na Harare ambazo mara nyingi Airbus ndio zinakaba iyo route...

JPM aliamua kuanza miradi yote mikubwa awamu yake ya kwanza akijua kabisa ataendelea nayo hadi anatoka. ..Ndio maana amegusa sekta zote kuanzia kufufua shirika la ndege,kujenga Barabara za mijini na vijijini,Kuboresha miundombinu ya huduma za afya pamoja na kuajiri,kuboresha elimu ,Kujenga reli mpya SGR, Kufufua Za meter gauge,kupanua bandari zote, kujenga madaraja nk. ...

Kwakua alishaanza awamu iliopita sasa hivi ameshafika nusu ya safari hakuna ugumu wowote kumalizia vipande vilivyobaki
route ya China inaanza February tayari confirmed! Huyu fala anaongea hivyo wakati KQ ina-make loss 10th year in a row! Jana nimesoma news ime-make loss again 2020 tena imezidi 2019! The only airline can talk to us down is Ethiopian airlines and not a country owning loss mining KQ! The rest ni wivu! Tena utazidi wanapoona tunaenda route 15 locally mwaka huu!

Kingine kwa ufala wao wameondoa ubia na KLM sasa KLM iliyokuwa iki-feed KQ at her hub in Nairobi PAX wa Zanzibar na nchi nyingine za Southern Africa inaenda directly!ikumbukwe Pia Air France ipo partnership na KLM. I wish Air Tanzania iingie sort of code sharing na KLM na Air France!
 
Tatizo lenu kubwa ni kwamba mnataka kukimbizana na Kenya kwenye kila sector. Hii ya kununua ndege 11 in cash mlikurupuka
Nimecheka sana, eti Tanzania tunakimbizana na Kenya? hatuna cha kujifunza kutoka kenya! ukabila-HAPANA, umasikini kuomba chakula kila mwaka-HAPANA, Kutegemea wazungu na kuwalamba miguu kila siku -HAPANA, Kukosa uzalendo na udugu wa kitaifa-HAPANA, Siasa mbovu na za vurugu kila uchaguzi-HAPANA-Uchumi unaoshikiliwa na wachache - westerners-HAPANA, KQ KENYA GOVERNMENT OWN LESS THAN HALF, TANZANIA GOVERNMENT OWN 100% IN AIR TANZANIA. WE HAVE NOTHING TO TAKE FROM KENYA!
 
African america wanaorepatriate Tanzania kama serikali itataka kuwatumia kuna kitu kikubwa tutapata kutoka kwao,jamaa wametokea kuikubali sana nchi yetu kwa jinsi sisi wenyewe tunavyoishi
kabisa, i wish kuna waziri husika au mkubwa yyte angeweza kuliona hili coz bdo wanacomplain kuwa hawana right ya ku own land na kuwa citizens wa tanzania, naelewa why serikali imefanya hvyo (kuzuia foreigners wenye bad intentions kujilimbikia ardhi yetu yte) but mybe wangetafuta njia ya kuwapa unafuu hawa watu ambao wako tayari kuhamia mazima ili wawe free kuinvest na kujijengea makazi yao ya kudumu hapa kwetu.
 
Ushauri wako Ni poa sana,Izo dreamliner inaenda Mumbai bro...Target ni masafa marefu....Ukiona imetoka dar kwenda Mwanza basi ujue abiria wako wakutosha haiwezi kupack tu....

Kuna deal la kwenda China ni corona ilizingua ila tutaanza kwenda China...pia tunaroute Za Lusaka na Harare ambazo mara nyingi Airbus ndio zinakaba iyo route...

JPM aliamua kuanza miradi yote mikubwa awamu yake ya kwanza akijua kabisa ataendelea nayo hadi anatoka. ..Ndio maana amegusa sekta zote kuanzia kufufua shirika la ndege,kujenga Barabara za mijini na vijijini,Kuboresha miundombinu ya huduma za afya pamoja na kuajiri,kuboresha elimu ,Kujenga reli mpya SGR, Kufufua Za meter gauge,kupanua bandari zote, kujenga madaraja nk. ...

Kwakua alishaanza awamu iliopita sasa hivi ameshafika nusu ya safari hakuna ugumu wowote kumalizia vipande vilivyobaki
nyangau anaelewa vizuri sana, sasa kwa route za harare na lusaka hawana tena abiria, hii ni SADC bwana
 
Kwa nini wahindi wa huko ni tofauti na wa Kenya? Kenya ni nadra ndoa kama hio kufanyika. Huku kuna msichana mmoja wa kihindi aliolewa na mvulana wa kiafrika ikawa ni breaking news. Familia ya huyo msichana ilimtelekeza na ndoa hio ikavunjika baada ya mwezi mmoja. Yaani ilikuwa ni story kubwa ilikuwa inakuja kwa habari ya saa moja na saa tatu usiku.
Ni utamaduni mliojitungia wa kuwekana madaraja.
Kwa Tanzania binadamu wote ni sawa. Ukienda shule wanasoma wote kwa pamoja. Hakuna kubaguana.

Ubaguzi wa kikabila, kidini, hali au rangi Tanzania hauna nafasi.
Wapo mpaka wahindi, waarabu na wengine wanajiuza. Ni wewe tu unataka kula yupi.

Maisha yao ni ya kawaida. Wapo manzese, Buza, Tandale, Masaki kote Wapo na wanaishi kawaida na wanajisikia vizuri kuwa watanzania.
 
Kwa nini wahindi wa huko ni tofauti na wa Kenya? Kenya ni nadra ndoa kama hio kufanyika. Huku kuna msichana mmoja wa kihindi aliolewa na mvulana wa kiafrika ikawa ni breaking news. Familia ya huyo msichana ilimtelekeza na ndoa hio ikavunjika baada ya mwezi mmoja. Yaani ilikuwa ni story kubwa ilikuwa inakuja kwa habari ya saa moja na saa tatu usiku.
huku pia wapo wenye ubaguzi wa aina hiyo ila bdo pia ndoa ama mahusiano baina ya waafrika na wahindi/waarabu yanatokea sio mengi sana but ypo
 
Nimecheka sana, eti Tanzania tunakimbizana na Kenya? hatuna cha kujifunza kutoka kenya! ukabila-HAPANA, umasikini kuomba chakula kila mwaka-HAPANA, Kutegemea wazungu na kuwalamba miguu kila siku -HAPANA, Kukosa uzalendo na udugu wa kitaifa-HAPANA, Siasa mbovu na za vurugu kila uchaguzi-HAPANA-Uchumi unaoshikiliwa na wachache - westerners-HAPANA, KQ KENYA GOVERNMENT OWN LESS THAN HALF, TANZANIA GOVERNMENT OWN 100% IN AIR TANZANIA. WE HAVE NOTHING TO TAKE FROM KENYA!
Icho kidonge ni balaa
 
route ya China inaanza February tayari confirmed! Huyu fala anaongea hivyo wakati KQ ina-make loss 10th year in a row! Jana nimesoma news ime-make loss again 2020 tena imezidi 2019! the only airline can talk to us down is Ethiopian airlines! the rest ni wivu! Tena utazidi wanapoona tunaenda route 15 locally mwaka huu!

Kingine kwa ufala wao wameondoa ubia na KLM sasa KLM iliyokuwa iki-feed KQ PAX wa Zanzibar na nchi nyingine za Southern Africa inaenda directly! I wish Air Tanzania iingie sort of code sharing na KLM!
Tunatoboa taratibu hivyo ndege zije tu kwakweli Magu alitake risk ambayo imezaa matunda
 
kabisa, i wish kuna waziri husika au mkubwa yyte angeweza kuliona hili coz bdo wanacomplain kuwa hawana right ya ku own land na kuwa citizens wa tanzania, naelewa why serikali imefanya hvyo (kuzuia foreigners wenye bad intentions kujilimbikia ardhi yetu yte) but mybe wangetafuta njia ya kuwapa unafuu hawa watu ambao wako tayari kuhamia mazima ili wawe free kuinvest na kujijengea makazi yao ya kudumu hapa kwetu.
Ghana na gambia wamewapa rights zote za kumiliki ardhi,lakini bado wengi wao wanaprefer kuhamia Tanzania,kitu kingine kibaya baadhi ya wabongo wameanza kuwatumia kama fursa kwao kwa kuwapandishia bei vitu,kuna mmoja juzi nimeona amepost ameuziwa embe kwa dola 3 while america embe kama lile ni dola 1,kuna wengine wanapangishwa nyumba hadi $600 kwa mwezi!na polisi wetu na wao hawako nyuma katika kuwaombaa rushwa,lwanashangaa sana!!hii kitu iangaliwe hawa jamaa walindwe ili wazidi kuitangaza nchi yetu vizuri kwa wenzao
 
Tatizo lako wewe unaongea mambo tu without research.

Kwanza PPP ya Tanzania ni kubwa kuliko ya Kenya.

Pili tayari zipo route za kwenda Zambia, Zimbabwe, Uganda zinatumiaka Airbus.
Kuna route ya kwenda India na Kwenda China lilikuwa planned but corona.

Route za ndani kuna Airbus na hizi ndogo ndogo.
Usijifanye mjuzi sana kwenye mambo ya uchumi. Wewe jitahidi sana kwenye Accounts mambo ya uchumi waachie wajuzi wayo.
Air Tanzania imerudi route ya India, kaka kabla ya ku-post kitu chungulia kidogo! Otherwise unapotosha! na route ya China inaanza February makubaliano Waziri wa mambo ya nje alipokuwa Chato!


 
Kwa nini wahindi wa huko ni tofauti na wa Kenya? Kenya ni nadra ndoa kama hio kufanyika. Huku kuna msichana mmoja wa kihindi aliolewa na mvulana wa kiafrika ikawa ni breaking news. Familia ya huyo msichana ilimtelekeza na ndoa hio ikavunjika baada ya mwezi mmoja. Yaani ilikuwa ni story kubwa ilikuwa inakuja kwa habari ya saa moja na saa tatu usiku.
Huyu hapa muhindi pure msikilize sasa 🙂ubaguzi Tanzania ni marufuku huwezi ukakuta watu wanabaguana sababu race flani au kabila flani wanajiona superior kushinda wenzao,daladala tunapanda nao kwenye vikao tunakutana nao sehemu za ibada etc,ni watani wetu tangu zamani nyie ndo mnawaabudu hawa jamaa mwisho wa siku wanawadharau nyingi 🙂
 

Attachments

  • carrymasttory-video-2021_01_24_18_54.mp4
    3.2 MB
View attachment 1686438
View attachment 1686440
View attachment 1686441
@Tony254 umeona nilichoeleza jana kuhusu zanzibar ..leo tu kama leo

Zanzibar inapokea ndege tatu kubwa

Royal flight B777 e300 Moscow 777 inabeba 350-400 haipitii kokote direct from moscow

Azur air kutoka Rostov on Don na 767 300 hio inabeba 250-300pax

Azur air 767 kutoka Ufa nayo 250-300px

Kuna Sky kiv ku
View attachment 1686444
Hawajadanganya hawa wako sahihi kabisa


Wahindi wa huku Kenya wana maringo na madharau sana. Wanawachukia waafrika sana. Hata wanapenda kuishi kivyao na wala hawajichanganyi na waafrika. Wanaona waafrika kama ni mavi ya sokwe.
kwani mkikuyu anampenda mjaluo??😅😅 unaruka kwenda mbali wakat nyie kwa nyie hamupendani
 
Kwa nini wahindi wa huko ni tofauti na wa Kenya? Kenya ni nadra ndoa kama hio kufanyika. Huku kuna msichana mmoja wa kihindi aliolewa na mvulana wa kiafrika ikawa ni breaking news. Familia ya huyo msichana ilimtelekeza na ndoa hio ikavunjika baada ya mwezi mmoja. Yaani ilikuwa ni story kubwa ilikuwa inakuja kwa habari ya saa moja na saa tatu usiku.
nyie wenyewe mna matabaka sasa kwann Wakenya wa Kiasia wa huko wasiwe Wabaguzi kwenyu?
 
mbona ni kama miradi yote mikubwa anzia, bandari sgr umeme barabara n kama inaendelea kutekelezwa pasipo shida yoyote?

Sijamanisha uwezo ..uwezo tunao ila kma timing..labda pia covid imeslow things down..kwa view zangu naona hio hela ingweza kuongeza speed kwenye project kama sgr ..wakati unasubiria kunua dreamliner ya 2 anyways its all about using them

Ethipoian ndege zake kubwa hazilali ..day time african cities night time outside africa it needs to be that way .. i hope we will reach huko
 
Ghana na gambia wamewapa rights zote za kumiliki ardhi,lakini bado wengi wao wanaprefer kuhamia Tanzania,kitu kingine kibaya baadhi ya wabongo wameanza kuwatumia kama fursa kwao kwa kuwapandishia bei vitu,kuna mmoja juzi nimeona amepost ameuziwa embe kwa dola 3 while america embe kama lile ni dola 1,kuna wengine wanapangishwa nyumba hadi $600 kwa mwezi!na polisi wetu na wao hawako nyuma katika kuwaombaa rushwa,lwanashangaa sana!!hii kitu iangaliwe hawa jamaa walindwe ili wazidi kuitangaza nchi yetu vizuri kwa wenzao
😂🤣tatizo lao nao wengine wanapenda kuja bila ya mwenyeji wa kuwaonesha mji ulivyo uhalisia wake na bei halisi za vitu, kuna haja ya serikali pia kuwaanzishia kitengo ambacho wakifika tu hapa wanaweza kwenda na kupata usaidizi/muongozo wa how things work (of course for a small fee) ili kusmooth transition yao hapa coz wao ndio ambao wanatutangazia nchi yetu now na kitu chochote negative watakachosema na kuki experience kwetu lazima waropokwe tu na kuwatisha wengine wasije🤣
 
Back
Top Bottom