Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Kwa nini wahindi wa huko ni tofauti na wa Kenya? Kenya ni nadra ndoa kama hio kufanyika. Huku kuna msichana mmoja wa kihindi aliolewa na mvulana wa kiafrika ikawa ni breaking news. Familia ya huyo msichana ilimtelekeza na ndoa hio ikavunjika baada ya mwezi mmoja. Yaani ilikuwa ni story kubwa ilikuwa inakuja kwa habari ya saa moja na saa tatu usiku.Mbona wengi wahindi wameolewa wengine majirani zangu🙂