Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamaa aliunda watch inayofanya kazi na hata akaweka radio button ya kureset saa. Kisha akakupa kazi rahisi ya kuweka radio button na ukashindwa. Sasa nani haaminiki kati yako na yake. By the way naamini kwamba wewe ni software engineer mashuhuri lakini hakuna haja ya kumshuku maana alifanya kazi uliyompatia.
Hahahaha mimi siyo Software engineer bali mimi ni Cosmologist.
 
Sasa ww ulikua hutak aje tanzania ?? Wacha aje lazma kutakua na jambo muhimu 😅😅
Hakuna business mnaweza fanya nao directly without including kenya,wait and see Kama Kenya haitahushishwa hapo😁😁
 
Hakuna business mnaweza fanya nao directly without including kenya,wait and see Kama Kenya haitahushishwa hapo😁😁
Hata geography hujui tunaweza kupitia Uganda na South Sidan! As a matter of fact shorter route and all paved! Kenya continues to remain irrelevant to Tanzania's interests in the region!

refugees.jpg
 
Kwanza huyu raisi ni flower girl. Ni puppet. Ni mtu mdogo sana kwenye serikali ya Ethiopia. Abiy Ahmed ndiye ana powers zote. Kama ingekuwa PM Abiy anakuja ndio ingekuwa habari kubwa. Huyu mama amekuja Kenya mara nyingi na hatujawahi kufungua mdomo
Khaa yaani hata ugeni wa Tanzania unakutia wivu? What if big deals were to be signed? FYI agreements on tourism and teaching swahili will be signed!
 
Tanzania has very many beautiful iconic places but Kenya has the best of the best,najua nimeguza geza mahale eeh🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom