kikihboy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,819
- 3,176
Fuzutomboa ndo nn?
Fuzutomboa ndo nn?
Unamfahamu Aristotle!?Wako kanisani, Respect God plz
Hvi kati ya tanzania na kenya nani anaroho mbaya hvi unafkiri tanzania ingekua na roho mbaya hzi nchi zingine zingepata uhuru kwa wakat ule???😁😁😁 sio nyinyi wenye roho mbaya mkaamua kujitenga kivyenuRoho mnayo mbaya. Bado mnatuchukia. Sema tu hamkuwa na mashine ya kufabricate hivyo vyuma. Ikabidi mje Kenya shingo upande.
Geza Ulole
Mwambie jamaa aeke kenya league ya kwanza africa usisahau plz😅😅😅😅Tulia utakuja😂
Haya Tony254 umeona mambo hayo 🤣🤣Mwanza airport - new Terminal
View attachment 1684642
Chukua kazi hio naona mushaanza kupost na mahoteli pia manake naona hoteli kibao hapo au nasema urongooooo😅😅😅Alafu wanafananisha jiji Kama hili na uswazi wa Mwanza 😂😂
Kwa 1600km sq 🤣🤣🤣🤣 iwe tower tatu ikiwa nairobi yenyewe inatoa kamasi na hapo ndani ya 696km sq kuna nairobi national parkHuwa nasema kila wakati Dar imezidia Mombasa na towers tu
Ulipaswa kusema "toboa" na si "tomboa" siku nyingine andika Gikuyu!Fuzu
+ westland mbona hujataja westland wakat naiona hapo au nasema urongooo🤣🤣From parklands, Good Morning kenyans
View attachment 1684655
Chukua kazi hio naona mushaanza kupost na mahoteli pia manake naona hoteli kibao hapo au nasema urongooooo😅😅😅
Mushaanza kutoa ushuzi sasa 🤣🤣🤣Wataelewa tu, wape muda.
From parklands, Good Morning kenyans
View attachment 1684655
+ westland mbona hujataja westland wakat naiona hapo au nasema urongooo🤣🤣
Uhehehhehehehehehhehehehehehehehhehehehehrhehehehhehrhrhhhehrhrh 🤣🤣🤣🤣 Mutabakia kupost na mahoteli ya nyali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa nini hii unalinganisha na Mombasa
Ni zaidi ya Mombasa!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa nini hii unalinganisha na Mombasa
Kenya iliamua kuwa collaborator wa Wakoloni! Yaani by choice waliamua kuwa Puppeteer nation! 😀 😀 😀 ☝️ 🤣Hvi kati ya tanzania na kenya nani anaroho mbaya hvi unafkiri tanzania ingekua na roho mbaya hzi nchi zingine zingepata uhuru kwa wakat ule???😁😁😁 sio nyinyi wenye roho mbaya mkaamua kujitenga kivyenu
Hakuna picha ya mahoteli hapa 🤣🤣👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa nini hii unalinganisha na Mombasa
Atabakia kupost mahoteli ya nyali 🤣🤣🤣 ila makazi ya watu kuna raha hukoNi zaidi ya Mombasa!
Ziko wapi GTC towers 😂😂+ westland mbona hujataja westland wakat naiona hapo au nasema urongooo🤣🤣
Hapa ni wapi???🤣🤣🤣🤣🤣 Au nasema urongooooZiko wapi GTC towers 😂😂