Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe huwa unaamka asubuhi unakunywa chai na kuingia mara moja kwenye tweeter feeds za Kenya. Cha kushangaza ni kwamba hakuna Mkenya hata mmoja anayejishughulisha na tweeter feeds za Tanzania. Yaani us Kenyans don't give a f*ck about what goes on in Tanzania. Nyinyi ndio mko interested na mambo yetu.
🤣🤣🤣🤣🤣 sasa mkiambiwa ukweli munakasirika
 
Kuna mkenya leo anafananisha debt ya
Japan na kenya 🤣🤣🤣🤣👇 lakini cha ajabu nchi ambayo iko 1st word country. Hatujawah sikia wana njaa au wana unemployment kubwa hatujawah sikia wanazungumzia afya au maji au makazi













 
Naona akili zimeanza kurudi.



Tutalilia chooni kwa hili. Mikopo hii tunapokea kutoka kwa mibeberu inakulwa na hidden agenda kwa Raiyaa ila viongozi wanajua kuwa hatutoweza kulipa Bila kuachilia Mali ghafi kwa beberu.

Bei ya chakula ishapanda tayari, Kazi hakuna na zaidi curfew bado ipo [emoji24][emoji24][emoji23][emoji23] Kenya na Nigeria tofauti ni hina tu!
 
Screenshot_20210124-005732_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom