Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Issue zako ni za kitoto sana. Unadhani issue ya kuiba online ni kuimba kama kuchukua chang'aa. Ingekuwa simple hivyo everyone angekuwa ni software developer.
Halafu usitegemee nitakuonesha chochote mpaka unitafute kwa adabu.
Sawa pole kama sijakufwata kwa adabu lakini ninacho omba tu ni vile mimi nilifanya ulicho jiulize nifanye hadi nikatuma video tafadhali hata wewe kuteneza tu functional buttons za kuset the correct time to the watch that was made earlier na utume a small video ikifanya you set the time kama ni to saa moja na dakika ishirini inafanya hivo tu sitaki lingine... na vile nilipost code pia wewe you post your code tuone kama kweli ni ile code yako tu umetumia simple.
 
Sawa pole kama sijakufwata kwa adabu lakini ninacho omba tu ni vile mimi nilifanya ulicho jiulize nifanye hadi nikatuma video tafadhali hata wewe kuteneza tu functional buttons za kuset the correct time to the watch that was made earlier na utume a small video ikifanya you set the time kama ni to saa moja na dakika ishirini inafanya hivo tu sitaki lingine... na vile nilipost code pia wewe you post your code tuone kama kweli ni ile code yako tu umetumia simple.
Unadhani huyo mtu ni a serious programmer? Anaweza kuwa anaelewa basics tu za programming but mambo ya kuunda saa ambayo ina buttons na unaweza finya button kuset saa imemshinda. Wachana na yeye.
 
JKIA milango kama mgunduzi wa kwanza duniani alivyogundua mlango yaani unasukuma kufungua na kufunga! IRMAO...!
Tony254 ni aibu aisee!
Afadhali tuwe na airport nzee inayohandle more passengers, flights and cargo kushinda airport yenu mpya ambayo inahandle less than half ya passengers wanaopitia JKIA. Mna safari ndefu kufikia numbers za JKIA. Kama vile tu mna safari ndefu kufikia numbers za Mombasa port. Having new shiny objects means nothing if you can't translate it into high number of passengers and cargo.
 
Unadhani huyo mtu ni a serious programmer? Anaweza kuwa anaelewa basics tu za programming but mambo ya kuunda saa ambayo ina buttons na unaweza finya button kuset saa imemshinda. Wachana na yeye.
Jamaa ni scammer eti yeye mpka atafytwe kw adabu alipwe[emoji23][emoji23]
Mbna mwenzake kaweka hapa na tumeona, ila tusubirie dakika 90 km kutakuaje
 
Tony254 kw jiwe kumenoga naona majamaa walikaa kimya tu lkn ni kunoma, sasa mc ichoboy01 kw hapa jf si atapata tabu sana
20210123_153335.jpg
 
US haijawahi kuchukua loan kama mnavyochukua nyie China imenunua US bonds under the US terms!
Deni ni deni iwe ni loan au bond. Na deni lazima ilipwe. Ni kweli bond ina better terms kushinda loan lakini bond bado ni deni na lazima ilipwe. Kwanza corona imefanya US waanze kugawia raia wake pesa na hio imeongeza debt to Gdp ratio ya US. Anyway nakubali kwamba Kenya lazima ipunguze debt level yake.

 
Deni ni deni iwe ni loan au bond. Na deni lazima ilipwe. Ni kweli bond ina better terms kushinda loan lakini bond bado ni deni na lazima ilipwe. Kwanza corona imefanya US waanze kugawia raia wake pesa na hio imeongeza debt to Gdp ratio ya US. Anyway nakubali kwamba Kenya lazima ipunguze debt level yake.

deni la kutoka own instutions ama in the form of bonds si sawa na la SGR Kenya toka kwa Mchina!
 
Back
Top Bottom