Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaongea vitu vya kijinga sana ,kua na high unemployment rate hakukufanyi uonekane bora hata kwa 1%....Nchi zilizoendelea wanasifa ya kua na low unemployment rate...

FYI south Africa despite of being upper middle income it's among the country that performs poorly in that agenda,saying so it's not termed as a developed nation untill they change and close the gap between poor and rich !!

Kenya is a failed state,low middle income as Tanzania, the difference is that Kenya is a capitalist while Tz is not,in a Country like Tz everyone has a free access to job opportunity ...Tunajua kenya mko kikabila zaidi ukiwa kabila fulani hata uwe na vyeti kutoka ni kazi ..
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Maneno mengi porojooo tu chukua zawadi upumzike

 
Bandari za Tanzania zitachangamka subiri hiyo nickel ianze kuchimbwa na mafuta ya mganda, hata Durban tutawaoa muda si mrefu
Huo mgodi hauna jipya sio ni ule ile tu ambao wale jamaa sijui wa accacia wakaucha kisa hauna faida..

Sasa mamburula naona bado mnazidi kunengua na kitu ambacho ilikua kimekufa
 
Mtakua big boys only if you export more than you import...Or the value of goods imported is less than goods expoted...look at you what do you have to export to become big boy ?chai na avoes?
izo ni hela ndogo sana wenzako wanakuuzia machines,cars, mobilephones,nguo, umeshapigwa kaka hapo....Utauza chai tonne ngap utengeneze $1B ? Unauziwa pcs 100,000 tu za iPhone kwa $$$ nyingi hatari....

You have a long way to become Big boy ni kwasababu Africa tulicheza na shule na hatuna iyo akili bado so sad
 
Not just south africa almost all countries that join middle class economy lazima wapitie shida hizo us we joined in 2014 nyinyi mmejoin 2020 naona, jipe Mike mitano ndo utaelewa what am saying Uganda pia itafwata karibuni wakijitahidi.... a country develops in stages and it's hard to jump a stage
 
Watu wameanza kujenga madaraja karne hii basi wanajikuta matajiri

Watu walijengs madaraja yana miongo kadhaa na wala haturingi, zama hzo wengine ilikua wanatembelea mitumbwi
Geza Ulole

Nyali bridge
Kilifi bridge
 
Ofcz, Uku Tz ajira zimeanza kua shida kwasababu vijana wengi walizoea akimaliza chuo anapata ajira...Kwa sasa uwpo wa makampuni binafsi umesaidia kuchukua vijana wengi sehemu za kupata hela kiasi cha kusukuma maisha...Tunakoelekea Ni mwendo wa kusoma upate maarifa na kufanya project binafsi...Ajira zimeshaanza kua ngumu hata uku
 
Bytheway SGR ya kenya pia inaanza kua electrified if you dint know meaning hata kabla mtumie your train hata mara moja hata yetu itakua electrified. So ujinga ya woo yetu ya stima woo hiyo itaisha soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…