Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BRT Sam Nujoma rd itakuwa bomba!
10E66A50-711B-47EA-A857-781FE529A869.jpeg
 
Leo nilikimbia hiki kijiwe pambe kidogo ila me bado sijaridhika na battle ya shule kukimbiwa kizembe vile 😅😅😅 me bado nna jambo langu
Sasa tumetoka job. Ngoja tuwaginge kidogo.
Ngoja mimi nionesha za Kenya na wewe uoneshe za TZ tushindane. Maana wakenya wameogopa.
Mimi nitataja County na wewe utataja mkoa.
Lazima shule ziwe za serikali.
 
Hahahaha battle mmeitaka wenyewe na mkakimbia wenyewe 🎃🎃

Mmeniacha na lundo la shule hapa, sijui unanishaurije? 🎃🎃🎃
Total Secondary schools in Kenya
9,900

Total Primary Schools in Kenya
33,000

Total Secondary schools in Tanzania
4800

Total Primary Schools in Tanzania
17,000


🤣🤣😂😂👇👇

IMG_20210106_200406_503.JPG



IMG_20210106_200323_041.JPG
 
Hakuna na haitokuja kutokea, yn nyie mu assemble gari za Scania zen plant yenyewe ndo hii, hebu angalia tofauti baina yenu na sisi zen utuambie nchi hipi inakaribia kufanya assembling ya ScaniaView attachment 1667689View attachment 1667692
Huyo jamaa ni kilaza sana yaani scania ile brand kubwa yenye thamani ya millions of dollars halafu iwe na assemble plant kama kibanda ya fundi sofa😆😆😆😆
..yan plant ya scania inazidiwa ubora na ile garage ya pale vingunguti,nyerere road
 
hapa kidogo tutajaribu kumshawishi M7 na yey kujenga kuelekea mwanza

ila mnakumbuka uhunye na ujumbe wa M7 walienda hadi china kuomba mkopo wa SGR lkn wameambulia patupu?
Mchina lazima ajenge mpaka DRC, lengo lake awali ilikua ni kufikisha SGR Uganda na DRC, kitendo cha huyu kigogo kuja mpaka Chato kina ujumbe mzito sana

Kwenye communique nimeona watakua na mazungumzo ya faragha, hapo kuna jambo
 
Kitu nachopendea Chinese companies wapo faster sana na huyu CCECC kashakua kama mwenyeji, ana miradi chungu mzima hata daraja la Magufuli Mwanza pia ni yeye na zitakua companies 2, mobilization na machineries recruitment haitompa tabu sababu wanavyo vya kutosha tofauti na mturuki
 
Back
Top Bottom