Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yule mwenye alikuwa anataka kuona assembly plant ya Scania yenye iko Nairobi amepotea tena?
Hii ndio aseembly ya scania kenya 🤣🤣🤣👇👇👇👇isuzu zimekua scania nimekwambia ukipata scania zinakua assemble kenya mm nafunga acc jamii forum
AFF94FC6-997F-4131-8A2B-CEC6A34BEDCC.jpeg
DCA4AFD6-BAD8-40D9-ACA4-722C4858D001.jpeg
 
Hehehe wewe ni examiner bonoko sana. Hata jua jina la kitu unafanya kwa kingereza, alafu you call yourself educated. Hiyo swali najua answer and I won't give it to you until you answer my question
Ona ichi kisenge eti kujua English ndo kuelimika, mbn umeulizwa maswali hapa ya proffesion uliyoongopa umesoma na umeshindwa
 
Anadanganya watu hii ni scania ah siku hzi scania zimekua isuzu😅😅😅😅😅😅
9D2BB8AF-1334-407C-83FA-62FC2EE47FD8.jpeg
 
Unaita mwenye alishakimbia kitambo? Kama unategemea mwenye hajui maana ya examiner then I pity you
 
Back
Top Bottom