Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Azam Milk.
Tanzania ya moto sana
images - 2020-12-28T113449.933.jpeg
images - 2020-12-28T113722.800.jpeg
Azam-Milk_1litre.png
images - 2020-12-28T113741.021.jpeg
 
Halafu nyinyi mumeanza kuprocess haya mambo juzi tu. In the 1980s and 1990s mlikuwa mnaimport hadi tooth paste na sabuni kutoka Kenya. Hamkuwa na industries za maana. Sasa hivi ndio mumeanza kumanufacture products halafu unaanza kuturingia ilhali Kenya imekuwa ikimanufacture hizi products kutoka zamani na kuwauzia nyie malazy.
 
Halafu nyinyi mumeanza kuprocess haya mambo juzi tu. In the 1980s and 1990s mlikuwa mnaimport hadi tooth paste na sabuni kutoka Kenya. Hamkuwa na industries za maana. Sasa hivi ndio mumeanza kumanufacture products halafu unaanza kuturingia ilhali Kenya imekuwa ikimanufacture hizi products kutoka zamani na kuwauzia nyie malazy.
We have modern factories. Nyie endeleeni na viwanda mlivyoachiwa na wakoloni. Viwanda vyenu mikweche.
 
Halafu nyinyi mumeanza kuprocess haya mambo juzi tu. In the 1980s and 1990s mlikuwa mnaimport hadi tooth paste na sabuni kutoka Kenya. Hamkuwa na industries za maana. Sasa hivi ndio mumeanza kumanufacture products halafu unaanza kuturingia ilhali Kenya imekuwa ikimanufacture hizi products kutoka zamani na kuwauzia nyie malazy.
badala ya kutuzodoa unatakiwa ulie kwa nguvu na kusikitikamaana ni pigo kwa viwanda vya kenya.
 
badala ya kutuzodoa unatakiwa ulie kwa nguvu na kusikitikamaana ni pigo kwa viwanda vya kenya.
Lakini mbona huyo mshamba Venus Star anaturingia processed products ilhali Kenya imekuwa ikiprocess products kutoka zamani? Huu ni ushamba wa aina gani? Si afadhali hata aende aringie Burundi, Somalia na South Sudan ambao hawana manufacturing industries. Sisi utaturingiaje bidhaa ambazo tumekuwa tukiprocess kutoka zamani na hata kuwauzia wakati hata hamkuwa na uwezo wa kuzimanufacture. Ama kweli maskini akipata matako hulia mbwata.
 
Lakini mbona huyo mshamba Venus Star anaturinngia processed products ilhali Kenya imekuwa ikiprocess products kutoka zamani? Huu ni ushamba wa aina gani? Si afadhali hata aende aringie Burundi, Somalia na South Sudan ambao hawana manufacturing industries. Sisi utaturingiaje bidhaa ambazo tumekuwa tukiprocess kutoka zamani na hata kuwauzia wakati hata hamkuwa na uwezo wa kuzimanufacture. Ama kweli maskini akipata matako hulia mbwata.
Umesoma title ya thread!? Kama unaviwanda hivyo ingia kwenye battle.

Sasa ninaanza na viwanda vya cement.
Utakoma kunijua.
 
Lakini mbona huyo mshamba Venus Star anaturinngia processed products ilhali Kenya imekuwa ikiprocess products kutoka zamani? Huu ni ushamba wa aina gani? Si afadhali hata aende aringie Burundi, Somalia na South Sudan ambao hawana manufacturing industries. Sisi utaturingiaje bidhaa ambazo tumekuwa tukiprocess kutoka zamani na hata kuwauzia wakati hata hamkuwa na uwezo wa kuzimanufacture. Ama kweli maskini akipata matako hulia mbwata.
lengo sio wewe uone vitu vigeni hapana,ni uone ni kwa namna gani sasa tz inachanuka na kuanza kukata kamba za utegemezi.

mimi nawezakukuuliza ni bidhaa gani ambayo kenya inaiuzia tz ambayo ni muhimu sana na huku haizalishwi???

usifurahi,sikitika.
 
Back
Top Bottom