hahahaha... usijari kaka....tuombeane uhai na utimamu wa kimwili.ipo siku nitakushtua.Kadoda uwe unaniambia tunakutana hapo
😀😀😀😀😀😀
hatukakatai,nairobi kuna raha sana but raha za dar es salaam hazina mpinzani EA.kuanzia warembo,vyakula na mziki mzuri.
imagine even some of your underrated music artist like this very talented guy called anto neosoul admirers dar so much.
![]()
![]()
![]()
tembea ujionee...nmekaa miji yote miwili....dar haina mpinzani kwenye suala la kula bataMombasa raha. Thats the Capital city of fun in Eastern Africa........
nimefika mombasa three times.Mombasa raha. Thats the Capital city of fun in Eastern Africa........
Sodomanimefika mombasa three times.
ukweli ni kwamba mombasa inawapa raha zaidi watu wanao practice same sex relationship.
hii imekuja kwasababu gays ni wengi sana mombasa kuliko mji wowote EA,sijajua sababu hasa ni nini.
wengine wanasema chanzo ni cultural interaction between swahili and arabs pia wanasema cultural interaction between swahili and some italian settlers in the coast.
nimefika mombasa three times.
ukweli ni kwamba mombasa inawapa raha zaidi watu wanao practice same sex relationship.
hii imekuja kwasababu gays ni wengi sana mombasa kuliko mji wowote EA,sijajua sababu hasa ni nini.
wengine wanasema chanzo ni cultural interaction between swahili and arabs pia wanasema cultural interaction between swahili and some italian settlers in the coast.
Na zanzibar unamuachia nani?????Haters gonna hate. ......Mombasa anyday. I am planning on going there in mid July.