Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania wako na football stadium sawa lakini sikumbuki kama wamewahi enda African cup of nations........hahaha. hoihoi wa kutupwa....

Yanga na simba hata top 4 kenya haziingii
Unachekesha ww unataka kuzifananisha Simba na Yanga na timu zenu. Ligi yetu inaushindani alafu inawalipa vizuri wachezaji wake East Africa.
 
The last time I was here Nairobi(2016) was leading whilst Dar trailing and I CAN confidently say nothing much has changed for Dar over a period exceeding 1 year.
 
Tanzania wako na football stadium sawa lakini sikumbuki kama wamewahi enda African cup of nations........hahaha. hoihoi wa kutupwa....

Yanga na simba hata top 4 kenya haziingii
Kumbe umekubali zipo stadium ambazo ni modern in east and central africa....
Alafu pia team za mpira tajiri ziko tanzania au pia utabisha😀😀😀😀
Kwa kifupi tanzania ni motoooo
 
Tanzania wako na football stadium sawa lakini sikumbuki kama wamewahi enda African cup of nations........hahaha. hoihoi wa kutupwa....

Yanga na simba hata top 4 kenya haziingii

Sasa Zitaingiaje top 4 kwan ziko ligi moja ......unahakika hatujawai kwenda CAF au unajisemea tu
 
njaa haiwezi kumuacha jirani yetu kenya salama.
d7f2cbefdb20628e8893aaf2efe331b5.jpg
Hali ni tete nabado
 
njaa haiwezi kumuacha jirani yetu kenya salama.
d7f2cbefdb20628e8893aaf2efe331b5.jpg
P.m. kaagiza kama wanataka kupeleka wasage kabisa wauze unga ili wawe wametengeneza ajira za kutosha Na kuepuka njaa nchini siku za usoni!!
 
Nairobi Gymkana cricket stadium
91598abe99aed4a33e914bd6ee77e79f.jpg

7987ac2c640d61fd41648eb72f13b796.jpg

c79cf3d18fcda1776b14de22005ce9ea.jpg

0db0325a4aad65e3b80f066884ef7396.jpg


Some notable Kenyan cricketers
8149fc6e2c40df14212007aa77120942.jpg

6055b23bf14aff26637cde73e05f7085.jpg

0d46c3fe01a65bad2eb9f9ac7ffc21f0.jpg
9c5677092ac601e2e65279d66fff77ad.jpg

950ca23e76358464dd681da8adffd48e.jpg

73630abb5c33b789e0b6dedac81834e1.jpg


The Maasai cricket worriors
86b86a1e13f94935c4aeaa9d1e04c98e.jpg
 
Kumbe umekubali zipo stadium ambazo ni modern in east and central africa....
Alafu pia team za mpira tajiri ziko tanzania au pia utabisha😀😀😀😀
Kwa kifupi tanzania ni motoooo


hiyo moja tu imeshinda kasarani na 0 01%
 
Kumbe umekubali zipo stadium ambazo ni modern in east and central africa....
Alafu pia team za mpira tajiri ziko tanzania au pia utabisha😀😀😀😀
Kwa kifupi tanzania ni motoooo


na ni mchezo gani nyinyi hufaulu jameni. ....na hiyo national stadium yenu?kwani mlirogwa ama vipaji ndio hamna
 
bata batani:
my last night view at club elements-dar es salaam.

photos can explain the awesome partying atmosphere out and inside the club....it was fireeeeeee!!!.
e3a6f30c79eff412ff21d2fae20eab08.jpg
655c6eeed3df612b18b46224cf3e0616.jpg
52c59dc2e1437e8bebf1b80d0a2b41b6.jpg
070fdae902d8f517e11d874425be2441.jpg
8f055eefa539c968a637f11b31fe65ef.jpg
c5ed3372455bf89c502d445827ab108c.jpg
d1f7acabc7a7987765bab6f6b23fb958.jpg


NB:
wakenya karibuni dar es salaam,jiji la maraha mje "mjibambe".
 
Back
Top Bottom