Nuh man! Me phone has big inches. Hapo sioni uwezekano wa gari pikipiki na watu wakipishana hapo, hiyo hela na hilo daraja jombaa mmepigwa vibaya sana na manyang'au..Labda simu yako ni ndogo
Usifananishe uchafu wa Nairobi na hi kitu ya DSM apa , kuna vitu vya kujipa Moyo kama kuishi kwenye dormitory na kujifariji kuziita apartment lakini kwenye viwanja usijifariji kabisa East and central afrika hakuna kama iki hii ni international standard apa tuna host mpaka team za EPLRacecourse Tz bado ni ndoto...wanajivunia stady ya 2007 na ni same na kasarani ya 1987....sioni differences kwa hizo ma stady
Meambie tume host hadi timu YA Dunia BrazilUsifananishe uchafu wa Nairobi na hi kitu ya DSM apa , kuna vitu vya kujipa Moyo kama kuishi kwenye dormitory na kujifariji kuziita apartment lakini kwenye viwanja usijifariji kabisa East and central afrika hakuna kama iki hii ni international standard apa tuna host mpaka team za EPLView attachment 531297
Unajua racecourse ni niniUsifananishe uchafu wa Nairobi na hi kitu ya DSM apa , kuna vitu vya kujipa Moyo kama kuishi kwenye dormitory na kujifariji kuziita apartment lakini kwenye viwanja usijifariji kabisa East and central afrika hakuna kama iki hii ni international standard apa tuna host mpaka team za EPLView attachment 531297
Yaonesha unaumia sana😀😀😀😀😀does such a cheap project needs all the hype....?
Hajiulizi kwann everton wameletwa tanzaniaUsifananishe uchafu wa Nairobi na hi kitu ya DSM apa , kuna vitu vya kujipa Moyo kama kuishi kwenye dormitory na kujifariji kuziita apartment lakini kwenye viwanja usijifariji kabisa East and central afrika hakuna kama iki hii ni international standard apa tuna host mpaka team za EPLView attachment 531297
Pozea machungu hapo😀😀😀does such a cheap project needs all the hype....?
Unajua racecourse ni nini
Football si ilianzishwa na wazungu pia...kama hamna usitafute excuse ovyoSasa huo ni mchezo wenu ???...si mmerithishwa na wazungu ..hyo ni influence ya wazungu kukaa (settler economy) kenya ..which ..haikuwepo Tz ..ndo maana unaona hatuna michezo kama rugby au horse racing ..sasa race course ya nini ..hii settler economy imewafanya hadi muanze western style ya kushop kwenye malls ...while sisi we do it in our own style ..ndo maana most people prefer shopping at Kariakoo ...and mimi naona its so fine ..to have and maintain your african culture .rather than ku adapt za wazungu
Football si ilianzishwa na wazungu pia...kama hamna usitafute excuse ovyo
Hamna uwezo...sema hivo ata Uganda rugby juzi karibu watushindeSio excuse ..sio lazima tuwe forced ku adapt kila kitu from wao
Sasa huo ni mchezo wenu ???...si mmerithishwa na wazungu ..hyo ni influence ya wazungu kukaa (settler economy) kenya ..which ..haikuwepo Tz ..ndo maana unaona hatuna michezo kama rugby au horse racing ..sasa race course ya nini ..hii settler economy imewafanya hadi muanze western style ya kushop kwenye malls ...while sisi we do it in our own style ..ndo maana most people prefer shopping at Kariakoo ...and mimi naona its so fine ..to have and maintain your african culture .rather than ku adapt za wazungu
Hamna uwezo...sema hivo ata Uganda rugby juzi karibu watushinde
Uwezo ni pale ambapo tungekuwa na rugby national team..na mmngekua mnatufunga ..sasa sisi rugby sio mchezo wetu ..na sio lazima uwe mchezo wetu