Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,985
- 27,996
Kwahyo kwa sasa mnatumia panton kuvuka Au. ..na iweje mnayajenga yote at onceHere are the 5 upcoming Bridges in Mombasa next year
1.MOMBASA GATE BRIDGE
View attachment 1654625
2MWACHE BRIDGE
View attachment 1654626
3.2 NYALI BRIDGE
View attachment 1654627
4.MWACHE BRIDGE (dongo kundu)
View attachment 1654631
5.MTEZA BRIDGE (dongo kundu)
View attachment 1654629
Kuna tofauti kweliHivi mnakwama wap mbona hamna jengo mnajenga likazidi haya ya Dar kwa utamu? View attachment 1654623


Mombasa kwa Sasa tunatumia bridge moja pekee Nyali bridge na ferriesKwahyo kwa sasa mnatumia panton kuvuka Au. ..na iweje mnayajenga yote at once
Huna mpya bana ww
Tunajenga yote kwa Sasa kwasababu tuna president anayefikiria kimaendeleo,tena Mombasa was neglected since independence,,Sasa Ni wakati waoKwahyo kwa sasa mnatumia panton kuvuka Au. ..na iweje mnayajenga yote at once
okey ,Tz kwa madaraja tuko league yetu hamtuweziTunajenga yote kwa Sasa kwasababu tuna president anayefikiria kimaendeleo,tena Mombasa was neglected since independence,,Sasa Ni wakati wao
wewe mbuzi usihesabu hizo shells utapotea.
Naomba niwe mkweli japo ni aibu kukaa kuhesabu lakini nimehesabu hata mara kumi mpka na ground naishia 27 kwa 28.wewe mbuzi usihesabu hizo shells utapotea.
ukitaka kujua umefeli angali uwiano wa floor tano za chini na hizo za juu.
huyo jamaa analeta utapeli wa kitoto.Naomba niwe mkweli japo ni aibu kukaa kuhesabu lakini nimehesabu hata mara kumi mpka na ground naishia 27 kwa 28.
Kwani nyie mnahesabu kitu gani mpka zinafika hata 29 tu?
any difference if extension is a parking lot and a makeshift tent?Naona Jkia hapo ya 1960s,hamtaki ya skuhizi😁😁
View attachment 1654590
Haya sasa add 3 floors zenye ziko kwa hiyo part ya yellow.Naomba niwe mkweli japo ni aibu kukaa kuhesabu lakini nimehesabu hata mara kumi mpka na ground naishia 27 kwa 28.
Kwani nyie mnahesabu kitu gani mpka zinafika hata 29 tu?
TPA floor umekosea mkuu hazipo 351.TPA TOWER 35FLR
2.PSPF 1 35FLR
3.PSPF 2 35FLR
3.MNF TOWER 30FLR
4.RITA TOWER 30FLR
5.PPF TOWER 35FLR
6.MILLENNIUM TOWER 30FLR
7.MZIZIMA TOWER 1 TOPPED OUT 35FLR
8.MZIZIMA TOWER 2 TOPPED OUT 33FLR
huyo jamaa analeta utapeli wa kitoto.
Naona a copycat of Furahisha pedestrian bridge!Here are the 5 upcoming Bridges in Mombasa next year
1.MOMBASA GATE BRIDGE
View attachment 1654625
2MWACHE BRIDGE
3.2 NYALI BRIDGE
View attachment 1654627
4.MWACHE BRIDGE (dongo kundu)
naomba uzoom utuonyeshe hizo floors 3 hapo juu,na maelezo zimekaa kwa namna ipi.Haya sasa add 3 floors zenye ziko kwa hiyo part ya yellow.
hizo ni 2,kwanza sijui ni kwanini umeita floor hiyo.Am talking about these viewing floors. Ziko tatu.View attachment 1654652
naomba uzoom utuonyeshe hizo floors 3 hapo juu,na maelezo zimekaa kwa namna ipi.
maama hiyo sehem upande mmoja ni fupi mwingine ni ndefu.

hizo ni 2,kwanza sijui ni kwanini umeita floor hiyo.