Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimelileta hilo kusudi nikajua mtakuja mbio, sasa unasema huoni tofauti
Manake uliskia hilo la wahindi linafunguka
Kumbe kufunguka ndio sababu ya kuwa floating??
Una safari ndefu sana.
Nilikua sijui aina ya mtu anaebisha hapa atleast nimepata picha.
 
Eti wao wanajenga meli🤣🤣🤣😅😅
952D748D-D175-4804-8FD2-54E498CB7E24.jpeg
CB3027B0-8750-47AE-9254-C8F6A5F558CA.jpeg
84A0DD84-B3DD-45B1-A006-FA1CFF507F4D.jpeg
 
Kumbe kufunguka ndio sababu ya kuwa floating??
Una safari ndefu sana.
Nilikua sijui aina ya mtu anaebisha hapa atleast nimepata picha.
Mwenye macho haambiwi tazama, yani hapo kw gati km huoni hapana nguzo panaelea tu na bado unabisha asante..

We endelea kuktaa mpka kiama wala hatutopungukia na lolote lile
 
Inawezekana kiswahili kigumu labda huelewi maana ya kuelea.

kwaiyo hapo linaelea kwenye anga au linaelea kwenye nguzo??

Maana naona halijagusa maji na limeungana na hizo nguzo za pembezoni.
View attachment 1653453
Alafu muonekano mbaya kuliko video yako ya render ulotuonesha humu.
Aliyeamua kuwehuka achana naye
Yani hapo mtu mzima anataka kusema yale maturumo yaliyopangwa katika gati wala hayaeli yapo juu ya hewa, tena anatuaminishia km sehemu ya pale katikati imeungashwa na hku juu..

Kw mtu mwnye akili wala hawezi bishia upuuzi
 
mtoto wa la nne kumpa geme adictive namna hiyo ni kumharibu tu.
Mtoto wako kwn unamleaje wewe, hujamratibisha wewe..
Manake kuna wakati mtoto km unamlea vizuri hawezi shika simu wala rimoti ya tv, manakw ywajua lile jicho atakalopigwa haswa wala hawezi thubutu.


Na kuna mida anajua leo hata nikichukua simu na kuanza kucheza gemu sitofanywa lolote..
Sasa km wewe mtoto wako hana ratiba shauri yako
 
Mtoto wako kwn unamleaje wewe, hujamratibisha wewe..
Manake kuna wakati mtoto km unamlea vizuri hawezi shika simu wala rimoti ya tv, manakw ywajua lile jicho atakalopigwa haswa wala hawezi thubutu.


Na kuna mida anajua leo hata nikichukua simu na kuanza kucheza gemu sitofanywa lolote..
Sasa km wewe mtoto wako hana ratiba shauri yako
ndio sababu kuna umri,unafaa kumpatia kila kitu anachotaka na mipaka yake sababu atakuelewa.
ila sio umri wa miaka hiyo.
akijua game kama mpira kisawa sawa ni tatizo kubwa,games kama hizo ni afadhali akawa anachezea sehemu rasmi kama umeamua iwe hivyo sio kwenye simu.itafikia hatua ukimnyima anakosa raha kabisa.

ndio maa a kuna vitu tunatoa kwa umri fulani tu,haijalishi kinapatikana au hakipo.
 
Back
Top Bottom