Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hao tunawajua sana wanatumwa na watu flani kwenda kuvuruga maendeleo ya nchi🙂
 
Ukiona mtu anajifanya venye huyo nguruwe anajifanya jua hicho kitu anafanya ni mara yake ya kwanza kuifanya. Mbona hajaipost hapa? Mbona leo ndio akaamua kuipost?
ni maamuzi yake binafsi huwezi kumpangia mtu jambo lake.....anafanya vile anavyojisikia

wacha ujinga
 
Watu wako na PS na wewe bado unaongelea kucheza game kwa simu, angalia venye uko nyuma bado
we kilaza kweli...

kwa hiyo mtu akiwa na PS hapaswi kucheza game za simu...?

au Ps ni kitu cha kuzurura nacho kila uendapo nayo ipo kwa beg
haiitaji akili kubwa acha ukilaza
 
Hao tunawajua sana wanatumwa na watu flani kwenda kuvuruga maendeleo ya nchi
Hawa pia wametumwa?
12585938_brtpic_jpege4165b1577a261f6e62b20ff04f5d701.jpeg
 
Acha kujichocha nyie nimafukara tuu sifa za kijonga ndio nying sasa hapo ndio kipi cha mana umepost zaidi takatak za f 5 old model
Mbona unacomment kwa hasira hivi? Or is it because you only have 34 aircrafts?. Should I remind you KDF's yearly budget as compared to your TPDF?
 
Back
Top Bottom