Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hao tunawajua sana wanatumwa na watu flani kwenda kuvuruga maendeleo ya nchi🙂
 
Ukiona mtu anajifanya venye huyo nguruwe anajifanya jua hicho kitu anafanya ni mara yake ya kwanza kuifanya[emoji23][emoji23]. Mbona hajaipost hapa? Mbona leo ndio akaamua kuipost?[emoji23][emoji23]
ni maamuzi yake binafsi huwezi kumpangia mtu jambo lake.....anafanya vile anavyojisikia

wacha ujinga
 
Watu wako na PS na wewe bado unaongelea kucheza game kwa simu, angalia venye uko nyuma bado[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we kilaza kweli...

kwa hiyo mtu akiwa na PS hapaswi kucheza game za simu...?

au Ps ni kitu cha kuzurura nacho kila uendapo nayo ipo kwa beg[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
haiitaji akili kubwa acha ukilaza
 
Hao tunawajua sana wanatumwa na watu flani kwenda kuvuruga maendeleo ya nchi[emoji846]
Hawa pia wametumwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]
12585938_brtpic_jpege4165b1577a261f6e62b20ff04f5d701.jpeg
 
Acha kujichocha nyie nimafukara tuu sifa za kijonga ndio nying[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] sasa hapo ndio kipi cha mana umepost zaidi takatak za f 5 old model[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona unacomment kwa hasira hivi?[emoji23][emoji23][emoji23] Or is it because you only have 34 aircrafts?[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]. Should I remind you KDF's yearly budget as compared to your TPDF?
 
Back
Top Bottom