Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Piga mahesabu hapo alafu uone ni nani ambae katengeneza kazi nyingi 2019
So walioandika report hawana akili 🤣🤣 kua tanzania imetengeza 46k jobs na kenya 16k jobs hvi kwani ww ni mgeni kwenye swala la unemployments ???😅😅😅
 
screenshot_20201209-202915-png.854268
 
FDI Yetu imepungua ila tumetengeza 46k jobs nyie ..imepanda ila 16k jobs

Nani kanufaika sasa ...
Na hapo imepungua
Ndo maana unemployment yenu iko juu alwaysView attachment 1650969
Huwa tunasema kwamba kizungu ni kizungumkuti kwenu na mnasema tuna dharau. Unaona sasa? You people can't even interpret and understand simple percentages.

How did Uganda create 62,000 jobs with only 18.2% while Tanzania created only 47,000 jobs with a whooping 47.9%? Does this tell you something?

In simple terms, hiyo 47.9% represent 46,765 jobs jobs created in 2019 through FDIs, meaning that in total, only 100,000 jobs were crested in Tanzania last year.

In the case of Kenya, that 10% represents16,000 jobs created through FDIs. This means that in total, Kenya created 160,000 new jobs in total
 
Back
Top Bottom