tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Ndio mmemaliza kuandaa mchoro?hadi iishe dar zitakua 10 kama izoThree level interchange at Changamwe. Hii ikiisha Dar haitaambia Mombasa anything
View attachment 1642510
Ndio mmemaliza kuandaa mchoro?hadi iishe dar zitakua 10 kama izoThree level interchange at Changamwe. Hii ikiisha Dar haitaambia Mombasa anything
View attachment 1642510
We endelea kupagawa tuUna fonts za kike dada.
Apa nimekubali sana
Wewe unaongelea mchoro wakati vitu vinasonga huku chini, here is the progress.Ndio mmemaliza kuandaa mchoro?hadi iishe dar zitakua 10 kama izo
Mwanza ni size ya Kisii.Wacha kuongea km unauchizi ,unafananish mwanza n ujingaView attachment 1642524
Na bado Tz ndio the most urbanized country in East and central of Africa.mwanza haiwezani nq mombasa hata nusu juu hata kisumu ni kubwa and developed kuishinda watanzania mnaendelea lakini bado miji yenu hamfikii za kenya mwanza mwenzake ni thika au kisii town
Thnx for render.Three level interchange at Changamwe. Hii ikiisha Dar haitaambia Mombasa anything
View attachment 1642510
Nadhani hii ndo itakuwa ya kwnz ambayo c ya tofali.Wewe unaongelea mchoro wakati vitu vinasonga huku chini, here is the progress.View attachment 1642584
Thnx for render.
Nadhani hii ndo itakuwa ya kwnz ambayo c ya tofali.
Imepiga hatua gani au unazungumzia GDP ambayo sasa ina 84% debt to GDP ratio🤣🤣kila mtu ameenda shule anafahamu hilo lakini kimaendeleo Kenya imepiga hatua kuishinda tanzania kwa umbali GDP yenu bado hijafika hata 70 bn Us dollars wakati sisi tuko 109 bn Us dollars
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hii ndio density unatuonesha humuShow me KICC in this picture. Nyinyi hamuezipiga picha bila those three blue towers.View attachment 1642420
Ati mombasa nn?Render you said. When it comes to road infrastructure, there is no city in Tanzania that can rival Mombasa.View attachment 1642602
You are just proving me right. Barabara za CBD yenu hazijakuwa marked.