Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tmp-cam-1212728951.jpg
kisumu city mwanza hamna mahali kama hapo
tmp-cam-1212728951.jpg
 
Wenzetu wamekazana na majengo cc tumekazana na miradi ya kumgusa mwananchi wa chini kabisa na bado wanaaamini tutakuwa ligi moja, labda Yesu arudi
Nje ya tughorofa na vibarabara vya Nairobi hawana cha maana cha kujilinganisha na TZ kwa miradi inayogusa maisha ya wananchi moja kwa moja. Ndio maana unaona kila baada ya post mbili wanaleta vipicha vya majengo na vibarabara ambazo hta sisi tunajenga tena nchi nzima!
 
mwanza haiwezani nq mombasa hata nusu juu hata kisumu ni kubwa and developed kuishinda watanzania mnaendelea lakini bado miji yenu hamfikii za kenya mwanza mwenzake ni thika au kisii town
Wacha kuongea km unauchizi ,unafananish mwanza n ujinga
Screenshot_20201205-170102.jpg
 
Back
Top Bottom