Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hiv ya Dar-Moro au Moro-Makutupora ilikuwa ni ngap each? i remember it ranged btn 1.3-1.5$ billions each lot.. then why hii ije 2.7$ billions??
wakipewa Yapi means kuna ya compensation for lot 1&2!!
Naona ni smear campaign ukiona hivyo mchakato wa kupata mkandarasi wa Mwanza-Isaka ni mkali! Kama hili ni kweli, basi Mchina apewe tender! Maana wamejirekebisha baada ya kushindwa tender mara mbili yaani Dar-Moro na Moro-Makutupora!

 
Tutakopa mpaka 150% wakat wamenusa red line sasa hvi 😅😅😅😅😅 wanamuomba yesu arudi asaidie kenya


At 84% assuming Kenya's GDP is $100bln as they claim they have just eclipsed every country on African continent. And even Nigeria on the amount of debt! But on debt GDP ratio $84 bln is a fraction of Nigeria's GDP that is over $400bln!

Tony254 what's ur say on this? How far will take before u hit a 90% mark?
 
Tutapiga 90% kabla ya Uhuru kuondoka. Hapa kwa debt Uhuru ametuangusha sana.
At 84% assuming Kenya's GDP is $100bln as they claim they have just eclipsed every country on African continent. And even Nigeria on the amount of debt! But on debt GDP ratio $84 bln is a fraction of Nigeria's GDP that is over $400bln!

Tony254 what's ur say on this? How far will take before u hit a 90% mark?
 
Tutapiga 90% kabla ya Uhuru kuondoka. Hapa kwa debt Uhuru ametuangusha sana.

afu kwann mnapenda sana mikusanyiko ya kisiasa siasa.. hampiti mwezi bila viongozi wenu kufanya mikutano ya kisiasa.. leo ipo BBI, ma-kesho kutwa mtafanya tu mikutano ya jambo jingine
 
afu kwann mnapenda sana mikusanyiko ya kisiasa siasa.. hampiti mwezi bila viongozi wenu kufanya mikutano ya kisiasa.. leo ipo BBI, ma-kesho kutwa mtafanya tu mikutano ya jambo jingine
Society yetu ipo hivyo japo mimi sipendi siasa. Siasa imepewa kipa umbele to the extent that our media totally refuses to cover infrastructural development going on in our country.
 
Japan is a manufacturing hub my friend don't compare urself a country that can't feed itself and her leading export is tea to a country that exports cars, electronic equipments and all what u know of high tech products! wacha ujinga!
Mungu ako nasi usijali. Najua unajali sana kuhusu Kenya.
 
Tutapiga 90% kabla ya Uhuru kuondoka. Hapa kwa debt Uhuru ametuangusha sana.
Kabla Uhuru kuondoka mtapiga above 100%, sasa hivi uchumi wa Kenya umekufa kabisa, bila mikopo nchi yenu haiwezi kufanya lolote.

Tatizo lenu wakenya ni uwezo mdogo wa kufikiria mambo kwa undani, mfumo mbaotumia wa kuendesha serikali yenu ni ghali sana, uchumi wa Kenya hauna uwezo wa kugharamia huo mfumo, haiwezikani Kenya kulipia mishahara na gharama za wabunge ya Taifa na Seneti, kulipia MCAs. Governors, Mawaziri, wakuu wa Mikoa, na karibu wote hao wana walinzi 24/7 wanalipwa na serikali ukiacha MCAs.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
We have fckd up on the issue of debt so unataka niseme nini?
polee, inabidi m-protest! Muandamane BBI is wastage of the ur scarce meager resources! mind u ur burget hole is around 8% aside the fact u not able to service ur debts!
 
polee, inabidi m-protest! Muandamane BBI is wastage of the ur scarce meager resources!
Hapa Kenya ni kama Tanzania tu. Ukiprotest polisi wanakupiga risasi. Inabidi kila mtu anamind shughuli yake. Kimbele mbele mingi itafanya mtu aondoke duniani kabla wakati wake kufika. Hata nyinyi mlishindwa kuandamana wakati CCM iliiba kura.
 
Kabla Uhuru kuondoka mtapiga above 100%, sasa hivi uchumi wa Kenya umekufa kabisa, bila mikopo nchi yenu haiwezi kufanya lolote.

Tatizo lenu wakenya ni uwezo mdogo wa kufikiria mambo kwa undani, mfumo mbaotumia wa kuendesha serikali yenu ni ghali sana, uchumi wa Kenya hauna uwezo wa kugharamia huo mfumo, haiwezikani Kenya kulipia mishahara na gharama za wabunge ya Taifa na Seneti, kulipia MCAs. Governors, Mawaziri, wakuu wa Mikoa, na karibu wote hao wana walinzi 24/7 wanalipwa na serikali ukiacha MCAs.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hii yote Wakenya wamekuwa wakicomplain kuihusu kutoka kitambo hakuna jambo mpya umeandika. Serikali itafanya itakavyo. Ni kama CCM inavyofanya itakavyo.
 
Japan wana debt to Gdp ratio ya 250% and they are still intact.
Hivi ulishajiuliza Japan anadaiwa na nani? Mikopo mingi imetoka wapi? Ni kama sometime wengine wanavoitumia USA yenye debt to gdp 200% wakati deni lao limetokana na kuprint pesa from treasury na zingine from IMF na world bank ambazo bado ni USA
 
Japan is a manufacturing hub my friend don't compare urself a country that can't feed itself and her leading export is tea to a country that exports cars, electronic equipments and all what u know of high tech products! wacha ujinga!
Ukiachilia mbali hilo wajiulize japan anakopa wapi? na hata akishindwa kulipa ataloose nini: Tuchukulie tu mfano wa hiki kipic cha info
1606652918211.png
 
Back
Top Bottom