Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuoneshe magari yenye plate no ya kenya sio magari mapya yapo kwenye ndege nani ataamini kama hapo kenya😀😀😀😀
Najua it's unbelievable nakuelewa vizuri sana ila amini usiamini hapa ni kenya. Plus hizo hapo pia ziko na plates huamini? Jameni, na uache kupost zenye sio tanzania please
 
Najua it's unbelievable nakuelewa vizuri sana ila amini usiamini hapa ni kenya. Plus hizo hapo pia ziko na plates huamini? Jameni, na uache kupost zenye sio tanzania please
Hakuna mtu ataamini hata diamond ameingiz juzi lamborgini haina hata plate no naeza kukuonesha kanunua 400,000 usd
Nioneshe niliopost ambayo sio tanzania
 
jichoboy.
Hakuna mtu ataamini hata diamond ameingiz juzi lamborgini haina hata plate no naeza kukuonesha kanunua 400,000 usd
Nioneshe niliopost ambayo sio tanzania
acha ku-moan ka dem msee.... mwenzako nilimpa advice akaniskiza... ukishindwa sema na ukae mkao wa kula
 
Maserati
mas.jpg
IMG-20150208-WA0005-1024x1024.jpg
IMG_20150209_073734.jpg
IMG_20170621_232145.JPG

Maybach
IMG_20170621_213641.JPG
 
Hakuna mtu ataamini hata diamond ameingiz juzi lamborgini haina hata plate no naeza kukuonesha kanunua 400,000 usd
Nioneshe niliopost ambayo sio tanzania
Kuna watu huwezi wadanganya, hapa ni tz? Usifanye nikuonyeshe hio video ya Diamond ama sijui anaitwaje
C3l8QpLWAAArewA.jpg
 
Back
Top Bottom