Video clips ziko humu., did u watch ama wewe ni fukara na pia kwa data?., nilishafanya utafiti mwafaka sikurupuki kama nyie with blind patriotism na inferiority complex๐๐๐., Mombasa is riding on the same lane na Dar., mengine ni kelele za chura na hasira tu๐๐๐, ukweli umeanikwa wazi dunia itazame
Ukimaliza kulia tunaomba viberiti km hivi tafadhaliVideo clips ziko humu., did u watch ama wewe ni fukara na pia kwa data?., nilishafanya utafiti mwafaka sikurupuki kama nyie with blind patriotism na inferiority complex., Mombasa is riding on the same lane na Dar., mengine ni kelele za chura na hasira tu
, ukweli umeanikwa wazi dunia itazame




Next?., anything else?.,
Hapa najiuliza tu kama ile ya Dodoma ilifanya Africa yote ichanganyikiwe sa sijui hii ya Dar Itakuaje!Hapa ni mwendo wa kuvunja rekodi zetu wenyewe![]()
Waliambiwa walete toka mwezi wa pili



Anything else nn, lipa kwanza hyo nikupige nyundo nyingineNext?., anything else?.,




Kakosa nairobi eti analeta shuzi la mombasa





Hapa mbona kama vile paligigwa bomu!
Ndo wanaita concrete jungle hiyoHapa mbona kama vile paligigwa bomu!




Maeneo duni ni mengi zaidi Nairobi ukisema uyataje huwezi kuyamaliza,Na ndiko wanaishi walalahoi cheap labors ...Hayo ni maeneo ya wakaazi wachache tuImagin hizi area hazipo kwa drone view I posted here! South B, South C , Lang'ata area, Karen, Ngong road, parts of the Nairobi metro; kama akina syokimau, Ruaka, Gigiri area kwa akina Muthaiga, Runda na Kiambu road sections, two rivers mall and the surroundings are not covered and they are developed areas! Nairobi metro is King in developed area in East, west n central Africa!. Hakuna mpinzani kamwe. Sasa battle will remain comparison ya vitu kama rails, brt, commuter, security, usafi hivi, flyovers n the likes., small stuff tu.of which any city can be on top ata Kigali can beat big cities kwa some sectors., Dar can beat Jozi in some sectors etc., mambo ndogo ndogo
![]()
Watatuambia nn hawa wapuuzi, nairobi ndiyo jiji chafu zaidi hapa Afrika na ndiyo lenye slums za kutisha zaidi duniani hapa watatuambia nn hawa virobotoMaeneo duni ni mengi zaidi Nairobi ukisema uyataje huwezi kuyamaliza,Na ndiko wanaishi walalahoi cheap labors ...Hayo ni maeneo ya wakaazi wachache tu



Dar it is 85%๐๐๐tuusan vipi? ๐๐๐.,Maeneo duni ni mengi zaidi Nairobi ukisema uyataje huwezi kuyamaliza,Na ndiko wanaishi walalahoi cheap labors ...Hayo ni maeneo ya wakaazi wachache tu
Umekerwa kweli ๐๐๐ vumilia tu kaka, hio ni effects za facts, give it time utapoa tu ๐๐๐., bro umeteseka kimawazo sasa ni kumwaga povu., anza kuanika slums za kenya angalau upate nafuu kimawazo๐๐๐ tatu bila!Watatuambia nn hawa wapuuzi, nairobi ndiyo jiji chafu zaidi hapa Afrika na ndiyo lenye slums za kutisha zaidi duniani hapa watatuambia nn hawa viroboto![]()
Mombasa!๐๐๐๐ jamaa hakuamini ilibidi atafute a section ili apate pa kutorokea๐๐
Mlango wenye kakako alitumia kutoroka, alipata pakutokea! A ka section ya the whole Mombasa drone clip๐๐๐., bado sijaona jibu kutoka South mnatapatapa tu hadi sasa!
Acha maneno mengi tena bora hata hayo maneno mengi yangekuwa ya maana ni maneno ya tundu la choo halafu mwenyewe unaona unaandika vitu vya maana ila sikushangai kwa sababu ni ngumu mnoo mkumbaf kuona ukumbaf wake,Mombasa!jamaa hakuamini ilibidi atafute a section ili apate pa kutorokea
![]()



Navenye wa Tz hapa waliwika na kuchocha wenzao kipigia inchi yao kura,haha,,kimeeleweka Sasa Kenya to the top,we are giants of AfricaHere is the full list ๐ ๐ ๐ ๐ Hapa ni Kenya tu na SA ndio naona. Its called tyranny of numbers!! even with corona!!!!
In summary Africa's leading destination 2020...........................you guessed it right, Kenya
View attachment 1623589View attachment 1623590View attachment 1623591
๐๐
Uehehehhe kwamba south C but wee see everything here๐๐๐๐๐Bado unatapatapa๐๐๐., Kiswahili kingi lakini wapi! ๐๐๐ endelea kunifunza misamiati but for argument hauna lako kamwe., andika tu insha, mimi nita kupa marks๐๐๐ hauna lolote!.,
zee la kujidanganyaNavenye wa Tz hapa waliwika na kuchocha wenzao kipigia inchi yao kura,haha,,kimeeleweka Sasa Kenya to the top,we are giants of Africa

