komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kaleta mtaa ule wenu best[emoji1787][emoji1787]Huwa anataka drone view ya Dar ss leo umemtia mbele ya wazazi wake [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kaleta mtaa ule wenu best[emoji1787][emoji1787]Huwa anataka drone view ya Dar ss leo umemtia mbele ya wazazi wake [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hakuna kitu km modern electric trains[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Soon zinawasili modern electric train from south korea so nashangaa wenzetu munarudi nyuma kweli[emoji3][emoji3][emoji3]
Phase 3 ya TZ,au Kenya mkuu?Hivi mna habari BRT Phase III WB wamezuia fedha?
we Jamaa kila siku ndio ikipita ndio unazidi kuwehuka[emoji1787][emoji1787]
Emu rudia tena hzo qualifications[emoji116][emoji116][emoji116]
electric sgr, BRT, 3level interchanges, Modern bus terminals[emoji1787][emoji1787]
Hawana namna vile watafanya zaidi ya kutishia shuzi kumbe wanaharisha, watazirudisha tu hii ndiyo Tz hatuyumbishwi wao wakisusa AFDB ipo.Hivi mna habari BRT Phase III WB wamezuia fedha?
na nani shareholders wa AfDB?Hawana namna vile watafanya zaidi ya kutishia shuzi kumbe wanaharisha, watazirudisha tu hii ndiyo Tz hatuyumbishwi wao wakisusa AFDB ipo.
Jamaa ka screenshot some parts ya zile ghorofa zilizoezekwa mabati kw juu za old town za 1960s kisha unajifurahisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka sana na bahat nzuri naijua in out sijui utanidanganya nn ww so ndani ya video hii ndio kitu nimeona[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hali hii lazma mwanza ikitoe uharo
View attachment 1623564View attachment 1623565View attachment 1623566
Kwa sababu gani?Hivi mna habari BRT Phase III WB wamezuia fedha?
Sasa hivi umekuwa mtu wa kuleta taharuki. Umeshaanza kuwa mwanasiasa uchwara.Hivi mna habari BRT Phase III WB wamezuia fedha?
Sasa hivi umekuwa mtu wa kuleta taharuki. Umeshaanza kuwa mwanasiasa uchwara.
Hizo taarifa umezipata wapi!? Acha uongo na kuzua taharuki. Tangu wakati wa uchaguzi umebadilika sana.
Jitafakari.
Mbona hampendagi ukweli? Geza huwa na facts licha ya kua propagandist kwa kiwango., haimanishi WB wakizuiya pesa mambo hayatafanyika😂😂😂 Tz ni "kwa pesa za ndani" haujui hilo?Sasa hivi umekuwa mtu wa kuleta taharuki. Umeshaanza kuwa mwanasiasa uchwara.
Hizo taarifa umezipata wapi!? Acha uongo na kuzua taharuki. Tangu wakati wa uchaguzi umebadilika sana.
Jitafakari.
Hiyo section jamaa ka weka ni sehemu ndogo sana ya hiyo drone video clip ya Mombasa😂 😂😂😂 ni section wa mji ulio jengwa na Portuguese, ukielekea maeneo ya fort jesus, hiyo architecture ni a historical heritage serikali haiwezi iondoa., wana preserve history. Jamaa katapatapa tu.Jamaa ka screenshot some parts ya zile ghorofa zilizoezekwa mabati kw juu za old town za 1960s kisha unajifurahisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huo ni mji wa kale jomba watu kutoka sehemu mbali wanakuja kushngaa old town mji wa tangia 1900...
Njoo utalii old town nimekupa offer nitakutembeza ili uachane na zile ngano zako eti unaijua mombasa..
Si unapenda kujishaua na mombasa kweli[emoji3][emoji3]
Kijana ukileta ukweli na evidences kwetu hakuna shida.Mbona hampendagi ukweli? Geza huwa na facts licha ya kua propagandist kwa kiwango., haimanishi WB wakizuiya pesa mambo hayatafanyika😂😂😂 Tz ni "kwa pesa za ndani" haujui hilo?
Hawa siwalitaka tanzania amani ivueugike sasa tunasubiri kivumbi cha 2022 kenya tuone sasa😂😂😂😂Kijana ukileta ukweli na evidences kwetu hakuna shida.
But hizi blah blah blah za kujifariji baada ya uchaguzi huwa ni ujinga.
...and the whole Dar is over😂😂😂😂., mbali na hapa hakuna chochote to compare with Nairobi, hakuna kabisaaaa😂😂😂 stick with three level tu😂😂😂 I repeat, Mombasa ni mwenzenu, ukitaka lia pombe kama umekaukiwa machozi
this is your level, pia na density..,
👇👇👇
Hio picha umetoa wapi google 😂😂😂😂 sijawah kuona udongo mwekundu dar irudishe pahala umetoaUmerudi kwa still photography 😅 😅 🤣 🤣 Hii ndio real definition ya density Dar
View attachment 1623573
Eti south c wakat nairobi nzima iko ndani 😂👇👇