Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Cha ajabu hii yetu MGR inafanana na yao SGR!
Hawa jamaa watachanganyikiwa wakiona trains zetu za SGR. Jambo la kushangaza kwa wakenya ni kwamba, hata kama serikali yao imefanya vibaya lakini kama Tanzania imefanya vibaya zaidi yao, wao kwao hawaoni kwamba kunatatizo.

Ukweli ni kwamba trains zao ni hovyo na ni model ya kizamani sana, hata kama tutanunua mbaya na za zamani kuliko hizo zakwao, hiyo haitozifanya trains zao kuwa "classic".

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Eti nini? TPA tower yenu inayopendeza kweli imedesigniwa na Mkenya. Hata jengo la bunge lenu limedesigniwa na huyo huyo architect Mkenya anayeitwa James Kimathi. Sasa unaturingia TPA tower ilhali imechorwa na Mkenya? Mbona hamgechora wenyewe?

Soma hapa

Sasa mbona kashidwa kudisgn za Kenya ziwe na mvuto au Kenya pesa kidogo?
 
Hawa jamaa watachanganyikiwa wakiona trains zetu za SGR. Jambo la kushangaza kwa wakenya ni kwamba, hata kama serikali yao imefanya vibaya lakini kama Tanzania imefanya vibaya zaidi yao, wao kwao hawaoni kwamba kunatatizo.

Ukweli ni kwamba trains zao ni hovyo na ni model ya kizamani sana, hata kama tutanunua mbaya na za zamani kuliko hizo zakwao, hiyo haitozifanya trains zao kuwa "classic".

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
CC: Tony254
 
Hii maneno ni safii




MY TAKE
Nangoja design ya meli ya abiria na mizigo Tanzania Lake Tanganyika itakayofanana na hii kiumbo



In the televised speech, the candidate who is on a marathon tour of regions said one of the two brand new ships will have capacity to ferry 600 passengers and 400 tonnes of cargo, while the other ship will be specifically for cargo, ferrying 4,000 tonnes.

He said 10bn/- will be spent on repairing MV Liemba and another 6bn/- will be spent on renovating MV Sangara.
 
Back
Top Bottom