Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu tuache uzalendo wa kijinga angalia hapo chini huoni Tanzaniania iko wapi na kenya iko wapi? Cc huwa tunaleta credible sources tofauti na nyie, angalia vile giza inameza kenyaView attachment 1601955
Dogo wacha mchezo. Hebu tazama coastline ya somalia. Hapo chini ambapo coastline ya somalia imewacha kuingia ndani na kuanza kuchange angle ya kuteremka ni Kenya sio Tanzania. Nikikuita mjinga nitakuwa nimekosea? Kimsingi hapo chini ya Somalia ni Kenya na Tanzania combined. Malindi, Mombasa, Kwale, na maeneo ya TZ ambayo yamepakana na Kenya upande wa Indian ocean. Tanga, Moshi, Arusha na Dar. Halafu ndani ya Kenya kuna dot imewaka ajabu. Hio ni Nairobi.
images (1).jpeg
 
Dah! Mzigo wa kilo 300 daily si haba, Tanzania tumechelewa kuwa na ndege ya mizigo, lake zone kuna potential kubwa sana ndio maana Ethiopian ameenda huko.

Mi nadhani wanunue ndege ya mizigo hata kabla yaani sasa! Miaka miwili mitatu ijayo ni kuchelewesha biashara! Imagine huu mzigo ungeletwa Mwanza kwenye cold warehouses halafu toka Mwanza uende middle east na Ulaya moja kwa moja! Hili lingekuwepo kungefumuka maviwanda ya fish packing and storage na boat za uvuvi lake Tanganyika!
 
Dogo wacha mchezo. Hebu tazama coastline ya somalia. Hapo chini ambapo coastline ya somalia imewacha kuingia ndani na kuanza kuchange angle ya kuteremka ni Kenya sio Tanzania. Nikikuita mjinga nitakuwa nimekosea? Kimsingi hapo chini ya Somalia ni Kenya na Tanzania combined. Malindi, Mombasa, Kwale, na maeneo ya TZ ambayo yamepakana na Kenya upande wa Indian ocean. Tanga, Moshi, Arusha na Dar. Halafu ndani ya Kenya kuna dot imewaka ajabu. Hio ni Nairobi.View attachment 1601964
Tony haya madude yote ya nn kwn we huoni hapo kwa hii ramani kwmb umeme unawaka nairobi pekee? Nilidhani labda useme tume edit kitu ambacho cc hatuwezi fanya kamwe
tapatalk_1602815955770.jpeg
 
Nyie mpambane na Ug, Burundi, Rwanda na Congo, cc wacha tujaribu kwenda sawa na south Afrika na ndiyo maana unaona tunafanya mambo yanayoendana na Real MIC

Inaumaaa
MIC ambayo mumeingia miezi mitatu iliyopita?
 




EkcI6fAX0AErX1w



EkcJAs6XYAIkCt1



EkcJG8gX0AAAlxk


EkcJLlPW0AEnmG3






The story behind
Masanja Kadogosa kasema operation cost ya electrical SGR ni 1/3 ya diesel SGR kwa umbali sawia! Hapa nimewaonea huruma jirani maana watapelekeshwa kwenye vita ya kupunguza gharama mpaka waseme po! Ikumbukwe mchina anadai na ataendelea kudai chake! malipo ya dhambi ya ubaguzi wa COW tunayaona hapahapa! Hivi Tanzania ingekuwa part of COW hii idea ya superior SGR ingekuwapo kweli? This is blessing in disguise!

Diesel ni very costly, yaani kitendo tu cha kwamba diesel has to be imported tayari unapata picture kwamba ni costly compared to electricity from hydro, from the hydo not fossils generated, sababu Kenya wanatumia fossils generators kuzalisha umeme wao mwingi so hata wangekua na electrified SGR bado ni mulemule.
 
Nyie mpambane na Ug, Burundi, Rwanda na Congo, cc wacha tujaribu kwenda sawa na south Afrika na ndiyo maana unaona tunafanya mambo yanayoendana na Real MIC

Inaumaaa
MIC ambayo mumeingia miezi mitatu iliyopita?
 
Diesel ni very costly, yaani kitendo tu cha kwamba diesel has to be imported tayari unapata picture kwamba ni costly compared to electricity from hydro, from the hydo not fossils generated, sababu Kenya wanatumia fossils generators kuzalisha umeme wao mwingi so hata wangekua na electrified SGR bado ni mulemule.
Jikite kwenye facts. Thermal inacontribute less than 15% of Kenya's power generation.
 
Dogo wacha mchezo. Hebu tazama coastline ya somalia. Hapo chini ambapo coastline ya somalia imewacha kuingia ndani na kuanza kuchange angle ya kuteremka ni Kenya sio Tanzania. Nikikuita mjinga nitakuwa nimekosea? Kimsingi hapo chini ya Somalia ni Kenya na Tanzania combined. Malindi, Mombasa, Kwale, na maeneo ya TZ ambayo yamepakana na Kenya upande wa Indian ocean. Tanga, Moshi, Arusha na Dar. Halafu ndani ya Kenya kuna dot imewaka ajabu. Hio ni Nairobi.View attachment 1601964
Huyo mshamba hajui kitu, Tanzania umeme unawaka kuanzia Mtwara mpaka Tanga, wao umeme ni Nairobi habari imeisha 😂😂😂😂
images - 2020-10-16T044009.639.jpeg
 
Diesel ni very costly, yaani kitendo tu cha kwamba diesel has to be imported tayari unapata picture kwamba ni costly compared to electricity from hydro, from the hydo not fossils generated, sababu Kenya wanatumia fossils generators kuzalisha umeme wao mwingi so hata wangekua na electrified SGR bado ni mulemule.

Geothermal energy si fossil fuel! Tatizo walilonalo ni jinsi hiyo miradi yao ya renewables ilivyokuwa-procured (wamegongwa kama kawa) yaani inaondoa unafuu wa hata renewables kuwa nafuu kama inavyotakiwa!

Yaani kama GoK ingetenga fedha yenyewe na kujenga hiyo mitambo ya Geothermal kwa kuajiri contractor umeme ungekuwa rahisi zaidi kuliko kuachia makampuni ya kimagharibi yanayotafuta faida kuja kuzalisha umeme na kuuzia Kenpower!
 
Tatizo co kuingia tatizo ni ku maintain kitu ambacho nyie hamtaweza na amini nakwambia mnarudi ldc soon just wait new report.
Gni per capita ndicho kigezo kinachoamua nani anarudi Ldc na nani anabaki Mic. Sudan wamerudi Ldc miezi mitatu iliyopita. Sisi tuna Gni per kubwa kuwashinda kwa hivyo ninyi ndio mtarudi Ldc kwanza kabla yetu.
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Mi nadhani wanunue ndege ya mizigo hata kabla yaani sasa! Miaka miwili mitatu ijayo ni kuchelewesha biashara! Imagine huu mzigo ungeletwa Mwanza kwenye cold wrehouses halafu toka Mwanza uende middle east na Ulaya moja kwa moja!
Ndege inakuja tena kwa haraka, hilo sina mashaka nalo. Biashara ni kubwa sana ya mzigo, lake zone pekee inaweza kujaza ndege, hapo bado avos na horticultures za Southern Highlands, cashews, horticultures and avos za Northern zone, the business is way lucrative
 
Back
Top Bottom