Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hakuna registration ya 5Y ambayo ni ya kenya hvi ww mbona akili zako changa sana
rudisha hii picha kwa wenye nayo
View attachment 1600747
Kweli umeumia, 5y ni ya kenya boss
Hta ile chopa magu aliyokodi pis si ni ya kenya..
Wivu mbaya lkn
20201015_094136.jpg
 
hakuna registration ya 5Y ambayo ni ya kenya hvi ww mbona akili zako changa sana
rudisha hii picha kwa wenye nayo😂😂
View attachment 1600747

I can confirm 5Y appears on many military planes in Kenya., that is a KDF chopper., mr. google changamka kwa kupinga with facts, Kenya inakusumbua akili sana😂😂😂😂😉.
 
Hahahaha dead link hakuna kitu zaidi ya hewa

Utatumia mbinu zote ila hautakaa uongeze kilometres hata 1 mbali na 11k mlizonazo

Hzo nguzu zote unazotumia toka si angalau ingelikua zimekusaidia kuketa hata 15000km kutoka ke jiwe
Kwel mmerukia mashaza mkundu wazi
 
Kweli umeumia, 5y ni ya kenya boss
Hta ile chopa magu aliyokodi pis si ni ya kenya..
Wivu mbaya lknView attachment 1600779

Hawa huwa wanaumia kuona chochote kizuri Kenya, wanateseka roho kwa ajili ya wivu. Propagandists are destroyed by hard facts with clear objective analysis, puts them where they belong, usishangae kaka, it is what they are, blind patriots self deceived.😂😂😂😂 nafurahi sana nikiona how they are struggling to justify there skewed reasoning.
 
Hawa huwa wanaumia kuona chochote kizuri Kenya, wanateseka roho kwa ajili ya wivu. Propagandists are destroyed by hard facts with clear objective analysis, puts them where they belong, usishangae kaka, it is what they are, blind patriots self deceived. nafurahi sana nokiona how they are struggling to justify there skewed reasoning.
We huoni tangia jana wameamua kujitia utahira
 
Hzo nguzu zote unazotumia toka si angalau ingelikua zimekusaidia kuketa hata 15000km kutoka ke jiwe
Kwel mmerukia mashaza mkundu wazi
Hahahaha nimekurahisishia kazi

Leta. Kilometres elfu 4 mlizijenga kuanzia 2017 tufunge mjadala. Mapema, au nalo ni mtihani? 😁😁😁
 
Back
Top Bottom