Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha labda kwenye ndoto, unakuja na takataka zako hapa hazina source, umekaa kwenye PowerPoint unafikiri wote tuna akili visoda kama wewe? 😁😁😁😁

Source kutoka kwenye Kenya Roads Board ipo kwa hewa, mna kilometers elfu 4 tu za lami kati ya kilometers 12k ambazo zinaonekana kama zina lami

In reality hata Burundi imewapita kwa kilometres za lami 😁😁😁😁

View attachment 1599486
Kama unadhani mimi ndio nimetengeneza hiyo basi pole, that`s a screenshot from KNBS 2019 data
2424506_Screenshot_131.png
 
Tusonge mbele najua hamna barabara ingine ya Dar mnaezapost tena

View attachment 1599499
Hz zote ulishapost juu nothing new, mm nmepost roads nyng mpya pia U/C cjagusa, ok bdae tutaendelea na vitasa now ngj niwajibike kujenga taifa langu nyie wenzangu hamna shida cz kodi pale kibera ni ksh50 per month mnapiga kelele humu jioni unaingia kwenye bati umemaliza wkt mm mwenzako nna mzigo wa majukumu so natakiwa ni work hard sn ok bdae aisee.
 
Hz zote ulishapost juu nothing new, mm nmepost roads nyng mpya pia U/C cjagusa, ok bdae tutaendelea na vitasa now ngj niwajibike kujenga taifa langu nyie wenzangu hamna shida cz kodi pale kibera ni ksh50 per month mnapiga kelele humu jioni unaingia kwenye bati umemaliza wkt mm mwenzako nna mzigo wa majukumu so natakiwa ni work hard sn ok bdae aisee.
Nionyeshe anywhere nimepost hiyo barabara tofauti na hii moja ya leo. Ukinionyesha natoka jf for good.
 
Hahahaha hawa wakunya washenzi sana, eti kilometers 21k halafu wawe na barabara mbovu kiasi hiki?
Kama unadhani mimi ndio nimetengeneza hiyo basi pole, that`s a screenshot from KNBS 2019 data
View attachment 1599501
Hakuna report ambayo ipo trustworthy zaidi ya hii iliorepotiwa kwenye gazeti lenu, kwanza in reality tu hamuwezi kuwa na hizo kilometres yet miji yenu 80% haina lami



Leta map ya hizo tarmaced roads kama una ubavu
 
Hahahaha hawa wakunya washenzi sana, eti kilometers 21k halafu wawe na barabara mbovu kiasi hiki?
Hakuna report ambayo ipo trustworthy zaidi ya hii iliorepotiwa kwenye gazeti lenu, kwanza in reality tu hamuwezi kuwa na hizo kilometres yet miji yenu 80% haina lami



Leta map ya hizo tarmaced roads kama una ubavu

Kati ya gazeti na KNBS gani ni credible source?
 
Hahahaha hawa wakunya washenzi sana, eti kilometers 21k halafu wawe na barabara mbovu kiasi hiki?
Hakuna report ambayo ipo trustworthy zaidi ya hii iliorepotiwa kwenye gazeti lenu, kwanza in reality tu hamuwezi kuwa na hizo kilometres yet miji yenu 80% haina lami



Leta map ya hizo tarmaced roads kama una ubavu

Huku ndipo walitaka bomba la mafuta la Uganda lipite!
 
Mbona unajichanganya? Ulisema nishapost hiyo road na nikikuambia unionyeshe penye nilishaipost before tena umechange tune
Kwn hyo road ni mpya? Na mbn umepost kipindi cha upya wake? Weka picha yake halisi.

Road mmeshai vandalise, gali na watu wanapita hapo hapo
 
Kwn hyo road ni mpya? Na mbn umepost kipindi cha upya wake? Weka picha yake halisi.

Road mmeshai vandalise gali watu wanapita hapo hapo
Hiyo ni barabara that was marked recently, pole kama unaiona kama barabara mpya.
 
Primary roads
Secondary roads
Minor roads
Special purpose roads
Unclassified roads

Ndio utopolo gani huu?
Au ndio pavements za majumbani? 😁😁😁😁😁

Em naomba mjadala uanzie hapa sababu kumbe tatizo lipo hapa 😁😁😁😁

View attachment 1599522
Tanzania 12,000km of paved roads, Kenya 21,000km of paved roads.
2424280_IMG_20200611_130314.jpg
 
Back
Top Bottom