eti kenya wapate university kama hii mm nafunga acc jamii forum 😂😂👇👇 wakat huku kwetu ipo kibaha over 40km from CBD
manina fungua hio video uniletee chuo chenye hadhi ya kufikia ukucha wa hicho chuo kutoka kenya na ukipata mm nafunga acc jamii forum mark my words😀😀Ni nini cha maana hapa?
kila kitu chuki unafkiri chuki ndio itawasaidia kufikia hadhi ya hicho chuo😂 katika wakenya waliobaki na ujinga ni wwNi nini cha maana hapa?
Umejua ujajibu swali, nimekuuliza hicho chuo kiko na nini cha maana. Instead of answering me wewe ushaanza kulia.kila kitu chuki unafkiri chuki ndio itawasaidia kufikia hadhi ya hicho chuki 😂😂 katika wakenya waliobaki na ujinga ni ww
ingia humu majibu yako yote yapo👇👇👇Umejua ujajibu swali, nimekuuliza hicho kiko na nini cha maana. Instead of answering me wewe ushaanza kulia.
Atakuambia wao walishakuwa nacho miaka 10 zilizopita, mwambie akuletee anakuletea JKU ambacho hakiwezi fikia hata Mzumbe au Sokoine hao ndiyo Wakenya wa humu Jf [emoji3][emoji3][emoji3]kila kitu chuki unafkiri chuki ndio itawasaidia kufikia hadhi ya hicho chuo[emoji23] katika wakenya waliobaki na ujinga ni ww
subutu yake atafute chuo kenya nzima chenye hadhi hio mm nafunga acc jamii forum, miaka hairudi nyuma inasonga mbele 😀😀😀Atakuambia wao walishakuwa nacho miaka 10 zilizopita, mwambie akuletee anakuletea JKU ambacho hakiwezi fikia hata Mzumbe au Sokoine hao ndiyo Wakenya wa humu Jf [emoji3][emoji3][emoji3]
ingia humu majibu yako yote yapo👇👇👇
Hicho chuo kina quality ya vyuo vikuu vya developed countries mbuzi ww, uwe mstaarabu km Wakenya wenzako waliostaarabika kina tony254.Umejua ujajibu swali, nimekuuliza hicho chuo kiko na nini cha maana. Instead of answering me wewe ushaanza kulia.
Quality ya nini? Cause kama ni buildings hakuna tofauti kati yake na Nyamasaria Primary school in Kisumu. What quality are you talking about?Hicho chuo kina quality ya vyuo vikuu vya developed countries mbuzi ww, uwe mstaarabu km Wakenya wenzako waliostaarabika kina tony254.
Unaonekana mjinga kubisha bisha kila kitu, let me give you a homework tafuta kenya nzima lete university inayokaribiana na hyo zen njoo tulinganishe.Nimewatch hiyo video and everything in it is average.
Hiyo ni level ya Primary Schools huku Kenya.subutu yake atafute chuo kenya nzima chenye hadhi hio mm nafunga acc jamii forum, miaka hairudi nyuma inasonga mbele 😀😀😀
Inakaribia in what terms? That`s what I want you to tell me. Juu mimi sijaona kitu cha maana hapo.Unaonekana mjinga kubisha bisha kila kitu, let me give you a homework tafuta kenya nzima lete university inayokaribiana na hyo zen njoo tulinganishe.
Hahahaaa, denial haitakusaidia chochote hayo maumivu uliyonayo jitahidi usihame Jf bado tuna jambo letu dhidi ya kenya.Quality ya nini? Cause kama ni buildings hakuna tofauti kati yake na Nyamasaria Primary school in Kisumu. What quality are you talking about?