Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,991
- 27,998
Before tuendelee, what do you want me to engage you on? Usafi ama barabara? Juu naona ukineal side ya barabara sana.
Before tuendelee, what do you want me to engage you on? Usafi ama barabara? Juu naona ukineal side ya barabara sana.
Ina maana huoni uzembe uliofanyika kwenye ujenzi wa hiyo barabara pamoja na hizo kuta za pembeni?Vichaa wawili wanadiscuss![]()
![]()
Yah ni barabara safi au we unaonaje we sema tu me ntatekeleza.Before tuendelee, what do you want me to engage on with you? Usafi ama barabara? Juu naona ukineal side ya barabara sana.
During construction anything can happen, the wall can collapse plus many other things. What matters is the final output.Ina maana huoni uzembe uliofanyika kwenye ujenzi wa hiyo barabara pamoja na hizo kuta za pembeni?
Kama vichaa wanaona halafu wewe mzima huoni wala haihitaji elimu kubwa kutambua nani ni kichaa tena hata ambaye hajasoma anaweza tambua nani ana akili timamu na nani ni kichaa.
Ok, I just wanted you to confirm. Let`s go.Yah ni barabara safi au we unaonaje we sema tu me ntatekeleza.
Huyu amelewa walai,tangu lini Dar ikawa na skyscrapers nyingi kuliko Nairobi, umechizi,alafu hicho milimani city isijaribu kutaja hapa,mvutio haina kama godowns tu,hope umewahi sikia Two rivers mall,babayao EAUnajua wabongo(watanzania) tunashida (sijui niite shida au niiwekeje hii) moja inayotusababiisha mpka leo hii tunabishana na kenya kuhusu kijiji chao kile,vs dar es salaam..
Shida yenyewe ni pale ambapo tuna chukulia kila kitu simple namaanisha bongo leo hata ikitokea tukajenga jengo refu duniani hutaona kelele kwenye mitandao ata kwenye list nying za internet itakua ngumu kufika mpka muda upite au wao wenyewe washoboke lakini ndugu zetu wakijenga choo cha shule utasikia best in east and central, wakichimba shimo la maji machafu best in east and central na wanakaza shingo kama huwajui utazani kweli,, so kupitia iyo situation dunia inawaona ni bora kweli kwa sababu ya ilo neno lao la best in east and central. Natoa mifano michache hapa vhini. (bashiru alisema uongo ukiimbwa sana unakua ukweli na kenya wanatumia vizuri hii kauli na inawasaidia.)
Mlimani city..
Ivi kweli mlimani city yote ina 30k msqure yani unanambia ina urefu wa mita 200 na upana wa 150 by sketching?? Seriously?? Ingekua kenya mpaka parking na kila sehemu pale ingehesabiwa then waje na big in east and central ila ukweli ni kwamba lile jengo kama jengo( tena jengo 1) ndo lina square 30k yani hactre 3 ila mlimani city yote pamoja nao office zake na ukumbi parking na kila kitu ina square mita zisizopungua 200k.
yet bado hatusemi big in Africa.
Skyscrappers..
Ukiwasikia wakenya wanaongelea majengo marefu utazani wanamiliki newyork au labda paris. But ngoja nikwambie kitu mpka mwaka 2019 dar es salaam lilikwa jiji la pili kwa kuwa na skycrappers nyingi sub sahara africa baada ya johnsbg ambapo kwa namba dar ilikua na skyscrapers 3 za 150m+nyuma ya jhnsbg amabayo ilikua na majengo marefu ya 100+m yalikua 17, 150+m yalikua 4 na 200+m yalikua 2.. na dar es salaam ambao tunafuata tulikua na 100+m yalikua 8, 150+m yalikua 3. Hakuna nchinyingine ilikuepo tena katika sub saharan africa.. kiukweli watz hatukuongea na bado hatuongei.
Baada ya hapo kuna nchi zimekamilisha majengo yao wakiwepo kenya na list iko ivi. Still johnesbg anaongoza..
Dar es salaam anafuata tena akiwa na majengo ya 100+m yapo 13. 150+m yapo 4.
Nairobi 100+m yapo 9 150m+ yapo 3 200+m lipo 1.
Hapa pia hatuongei yani tunaonekana kama sisi ndio wanyonge.. kilicho badilika ni kwamba katika skycrapers sasa nairobi amekua wa 3. Baada ya johnsbg na dar.
Wabongo tuwe tuna update mambo yetu inasaidia sana kuongeza utalii.
Kumbuka internationally skycrapper ni jengo lenye urefu wa 150+..
#kuna mambo mengi ila naona bandiko limekua refu nitaongeza kesho nisiwachoshe..
Mtanisamehe sana kwasababu nimeshindwa kupachika picha na link kama source lakn nitajaribu kuweka chini..
Ukitaka kuelewa nilichoongea kwenye post namba #223901 hiki hapa yani kwa jinsi hii picha inavopostiwa utazani kuna maajabu hii bara bara ni ya kawaida kupita maelezo nadhani infaa kuwa jiji kama mwanza au shinyanga sio dar..The same road after completion,hahahaha,poleni sana
Before.....
View attachment 1596388
After..
View attachment 1596383
The same road after completion,hahahaha,poleni sana
Before.....
View attachment 1596388
After..
View attachment 1596383
Wewe nishaeka, kwani umepotea tena? 😂 😂 😂 Ama ni uogo ndio uko nayo.Yah ni barabara safi au we unaonaje we sema tu me ntatekeleza.
Wacha wapate ya kuongea nafrahia kuona wakitumia 1% wa ubongo wao,hahahaSijui mbona umepost hii, ungewaacha waendelee kuongea matope. 😂 😂
Kwamba unatetea hadi uzembe wa engineers!During construction anything can happen, the wall can collapse plus many other things. What matters is the final output.
Sasa hii inanini cha maajabu kwa sisi sana Nairobi tumezoea had I underpass na flyoversUkitaka kuelewa nilichoongea kwenye post namba #223901 hiki hapa yani kwa jinsi hii picha inavopostiwa utazani kuna maajabu hii bara bara ni ya kawaida kupita maelezo nadhani infaa kuwa jiji kama mwanza au shinyanga sio dar..
Ukiangalia barabara ya kurasin ni sehemu ya kwenda kutalii uashangae bara bara lakin wabongo nje ya jamii forum hata hawaiongelei.. kenyan bana embu jihesjimuni hii bara bara ni aibu tupu.View attachment 1596409
Mhmm.. kuna mawiliHuyu amelewa walai,tangu lini Dar ikawa na skyscrapers nyingi kuliko Nairobi, umechizi,alafu hicho milimani city isijaribu kutaja hapa,mvutio haina kama godowns tu,hope umewahi sikia Two rivers mall,babayao EA
Nairobi imepita Dar kwa mengi..
1.malls
2.industries
3.Banks
4.highways
5.functional SGR
6.Nairobi GDP is bigger than DAR
7.modern and best hospitals
8.Top universities
9.many vehicles
10.modern Towers
11.interchanges & overpass
12. Nairobi stock exchange is bigger than of Dar,does even exists such thing in Dar??
13.golf courses
14.Green and beautiful relaxing gardens
15.Big telecommunications like safaricom
16.luxury estates
17.3 CBDs
18.biggest & busiest Airport
List is endless,, Dar can only kiss Nairobi ass
Hivi kwa nini hawa jamma wamapenda sana kulipua sana kazi?Barabara km hz eti!!
GTC pekee ni sita na yote ni over 100mMhmm.. kuna mawili
1. Either hujui unqchokiongea kwaiyo unaongea kama ulivo sikia.
2. Au unajua ila unafanya kusudi ili uipromote Nairobi kama mnavyofanyaga maisha yenu yote..(ofcoz hii sio mbaya lkn fanya kwa wasiojua)
Kabla hamja kamilisha hya majengo yenu ya sasa nairi ilikua na majego yaliyo vuka 100m+ yasio zidi 6.. niprove wrong japo najua huwezi..
Dar es salaam yalikua 9.. ambayo ndio idadi ya Nairobi kwa sasa wakati Dar es salaam ina 13.
Ukweli ni kwamba ivyo vijengo unaviona hapo Nairobi vingi havijavuka mita 100..
Let me count them for youMhmm.. kuna mawili
1. Either hujui unqchokiongea kwaiyo unaongea kama ulivo sikia.
2. Au unajua ila unafanya kusudi ili uipromote Nairobi kama mnavyofanyaga maisha yenu yote..(ofcoz hii sio mbaya lkn fanya kwa wasiojua)
Kabla hamja kamilisha hya majengo yenu ya sasa nairi ilikua na majego yaliyo vuka 100m+ yasio zidi 6.. niprove wrong japo najua huwezi..
Dar es salaam yalikua 9.. ambayo ndio idadi ya Nairobi kwa sasa wakati Dar es salaam ina 13.
Ukweli ni kwamba ivyo vijengo unaviona hapo Nairobi vingi havijavuka mita 100..
Wewe ni Mtu sahihi sana.. Ubarikiwe.Unajua wabongo(watanzania) tunashida (sijui niite shida au niiwekeje hii) moja inayotusababiisha mpka leo hii tunabishana na kenya kuhusu kijiji chao kile,vs dar es salaam..
Shida yenyewe ni pale ambapo tuna chukulia kila kitu simple namaanisha bongo leo hata ikitokea tukajenga jengo refu duniani hutaona kelele kwenye mitandao ata kwenye list nying za internet itakua ngumu kufika mpka muda upite au wao wenyewe washoboke lakini ndugu zetu wakijenga choo cha shule utasikia best in east and central, wakichimba shimo la maji machafu best in east and central na wanakaza shingo kama huwajui utazani kweli,, so kupitia iyo situation dunia inawaona ni bora kweli kwa sababu ya ilo neno lao la best in east and central. Natoa mifano michache hapa vhini. (bashiru alisema uongo ukiimbwa sana unakua ukweli na kenya wanatumia vizuri hii kauli na inawasaidia.)
Mlimani city..
Ivi kweli mlimani city yote ina 30k msqure yani unanambia ina urefu wa mita 200 na upana wa 150 by sketching?? Seriously?? Ingekua kenya mpaka parking na kila sehemu pale ingehesabiwa then waje na big in east and central ila ukweli ni kwamba lile jengo kama jengo( tena jengo 1) ndo lina square 30k yani hactre 3 ila mlimani city yote pamoja nao office zake na ukumbi parking na kila kitu ina square mita zisizopungua 200k.
yet bado hatusemi big in Africa.
Skyscrappers..
Ukiwasikia wakenya wanaongelea majengo marefu utazani wanamiliki newyork au labda paris. But ngoja nikwambie kitu mpka mwaka 2019 dar es salaam lilikwa jiji la pili kwa kuwa na skycrappers nyingi sub sahara africa baada ya johnsbg ambapo kwa namba dar ilikua na skyscrapers 3 za 150m+nyuma ya jhnsbg amabayo ilikua na majengo marefu ya 100+m yalikua 17, 150+m yalikua 4 na 200+m yalikua 2.. na dar es salaam ambao tunafuata tulikua na 100+m yalikua 8, 150+m yalikua 3. Hakuna nchinyingine ilikuepo tena katika sub saharan africa.. kiukweli watz hatukuongea na bado hatuongei.
Baada ya hapo kuna nchi zimekamilisha majengo yao wakiwepo kenya na list iko ivi. Still johnesbg anaongoza..
Dar es salaam anafuata tena akiwa na majengo ya 100+m yapo 13. 150+m yapo 4.
Nairobi 100+m yapo 9 150m+ yapo 3 200+m lipo 1.
Hapa pia hatuongei yani tunaonekana kama sisi ndio wanyonge.. kilicho badilika ni kwamba katika skycrapers sasa nairobi amekua wa 3. Baada ya johnsbg na dar.
Wabongo tuwe tuna update mambo yetu inasaidia sana kuongeza utalii.
Kumbuka internationally skycrapper ni jengo lenye urefu wa 150+..
#kuna mambo mengi ila naona bandiko limekua refu nitaongeza kesho nisiwachoshe..
Mtanisamehe sana kwasababu nimeshindwa kupachika picha na link kama source lakn nitajaribu kuweka chini..
Huyo hajielewi achana naye.GTC pekee ni sita na yote ni over 100m
Ila road za Tz ziko poa xana, even 4 the next 100 generation will fill proud of it, emm check kwanza wakenya kwa hapa tulien,,, Tz inakimbizamodern bus terminal budaa😂😂