Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii inauma... vingunguti, buguruni, tandale, kijitonyama, manzese... the names alone can scare a scarecrow... eew
View attachment 526650
Kijitonyama unapajua au unajiandikia tu?jieshimu,nionyeshe slum apo...usipazimishe tufanane bana nyie mmeshaharibu
263727413c2dfd7010b20c9e2177836c.jpg
 
6% of 696km^2 against 92% of 1590.05km^2...
i give up
All slums are 6% serious?????😀😀😀😀😀
Hebu tuone ni kweli tuangalie area ya city center na slums area in nairobi ambayo ni 696 kmsq
IMG-20170618-WA0004.jpg

Hvi tukiwa hatuna macho hatuwez kupapasa tukajua kwa mahesabu yangu ya haraka haraka city center haivuki hata 100km sq so 596 kmsq is slum.......😛😛😛😛😛😛
 
Hvi we jangwani unaijua ilivo????
Basi nakupa taarifa hio picha sio dar na hakuna sehemu ya dar iko hvo😀😀😀😀😀
Kwenye ukweli sema ukweli tu
mbona unalia 😀 😀 😀
punguza povu. hapo ni uswazi Jangwani... ukubali ukatae.... hata ubonde kichwa kwenye sakafu 😀 😀 😀
 
idiot ni wewe na wabongolala wote pretending you know more about Kenya than the native Kenyans.
Muda niliokaa Kenya haunipi haki ya kusema naijua sana Kenya but the time i've lived with Kenyans naweza kujipa haki ya kusema nawajua wakenya with their personalities, Native Kenyan Lewis, wewe ni wa kabila gani?
 
All slums are 6% serious?????😀😀😀😀😀
Hebu tuone ni kweli tuangalie area ya city center na slums area in nairobi ambayo ni 696 kmsq
View attachment 526651
Hvi tukiwa hatuna macho hatuwez kupapasa tukajua kwa mahesabu yangu ya haraka haraka city center haivuki hata 100km sq so 596 kmsq is slum.......😛😛😛😛😛😛

Lewis254 nakuhitaji hapa
 
Back
Top Bottom