Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamani mtakuja kuwaua mungiki kwa presha
airbridge ya Mombasa airport ni zege!




SEasiaAirport.jpg



b738---2020-05-26.thumb.jpg.e5d87a8d92f336ac972ed41b9fd43458.jpg



attachment.php
 
ohk atapitia wapi ili kumpiga incase of mobilization for war? au unadhani air raids r enough? Unajua gharama za mabomu yanayoweza kuvunja GERD dam? Sidhani kama Egypt can afford costly war at the moment!
Hiyo ni kitu kidogo sana kwa Egypt
1)Egypt na Sudan wapo upande mmoja katika hili sakata, Mazungumzo yapo katika hatua za Mwisho kwa Egypt kufungua military base yao Sudan.
2)Egypt wanazo meli za Kivita zenye uwezo wa kurusha Missiles kutoka international waters na kufikia hapo, kama USA ilivyoipiga Khartoum miaka ya nyuma.
 
Hiyo ni kitu kidogo sana kwa Egypt
1)Egypt na Sudan wapo upande mmoja katika hili sakata, Mazungumzo yapo katika hatua za Mwisho kwa Egypt kufungua military base yao Sudan.
2)Egypt wanazo meli za Kivita zenye uwezo wa kurusha Missiles kutoka international waters na kufikia hapo, kama USA ilivyoipiga Khartoum miaka ya nyuma.
Egypt na Sudan hawako pamoja! Sudan ana grievances zake pia over Nile waters. Ndo maana Ethiopia anajaribu kuichukua Kismayo akijua Somalia is the weakest possible route incase of invasion attempt. Plse don't underestimate a country on warfare. Only the US or those countries with aircraft carrier can do this kind of operation n win!
 
Egypt na Sudan hawako pamoja! Sudan ana grievances zake pia over Nile waters. Ndo maana Ethiopia anajaribu kuichukua Kismayo akijua Somalia is the weakest possible route incase of invasion attempt. Plse don't underestimate a country on warfare. Only the US or those countries with aircraft carrier can do this kind of operation n win!
As it moves closer to Eritrea, Egypt eyes military base on Nora island | Sabahat Khan | AW
Ethiopia haina uwezo hata kumaliza mwezi mmoja akianzisha Vita na Egypt, kwasababu Ethiopia hana njia yoyote ya kuikaribia Ethiopia, Egypt atasogea na Meli zake hadi kwenye maji ya kimataifa ya red sea na kurusha makombora ya masafa marefu.

Pia anaweza kurusha ndege zake za kivita kutoka kusini mashariki mwa nchi yake na kufuata usawa wa Red Sea hadi Ethiopia. Kama alivyosema yule dada katika ile clip uliyoweka," war is not likely but is possible,"
 
As it moves closer to Eritrea, Egypt eyes military base on Nora island | Sabahat Khan | AW
Ethiopia haina uwezo hata kumaliza mwezi mmoja akianzisha Vita na Egypt, kwasababu Ethiopia hana njia yoyote ya kuikaribia Ethiopia, Egypt atasogea na Meli zake hadi kwenye maji ya kimataifa ya red sea na kurusha makombora ya masafa marefu.

Pia anaweza kurusha ndege zake za kivita kutoka kusini mashariki mwa nchi yake na kufuata usawa wa Red Sea hadi Ethiopia. Kama alivyosema yule dada katika ile clip uliyoweka," war is not likely but is possible,"
Eritrea is wining n dining with Ethiopia, there is no way they can allow Egyptian naval base in her territory!
 
Back
Top Bottom